ruralofficer
JF-Expert Member
- Apr 4, 2014
- 2,494
- 3,630
jamii forum ni app nzuri sana inapatikana play store.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Videorder inafanya kazi gani mkuu.Kuna apps nyingine inaitwa videorder matata sana
Mkuu hii inapakua youtube video kama youtube yako vile .version zote ukitaka hd au best quality yoyoteVideorder inafanya kazi gani mkuu.
Inachoniboa hii app ni uwezo wa ku upload file wanatakiwa wa upgrade atkeast iwe na uwezo wa telegram..Najua mods hawashindwi aseejamii forum ni app nzuri sana inapatikana play store.
Matokeo gani ya mpira au sema tukupe apps bestNasubiri kuendelea kuona matokea
Mkuu ni version ya ngap hiyo"Feedly" ipo playstore , kama ni mvivu wa kutembelea website nyingi , unacho Fanya una add link ya websites inazopenda kwenye hiyo app, halafu inakuwa inakuletea habari mpya kila wakati.
Angalia screen shot hapo chini.
![]()
Play store mbona sioni
Uckasrike kaka ni kuwaelekeza tu kaka..Muwe mnasoma ata thread za mwanzoni mwanzoni basi, link ilishatolewa ya kudownload. Playstore haipo uko.
Feedly zipo nyingi, ni ipi hasa unayoongelea? Nimeenda playstore sijajua nidownload ipi!"Feedly" ipo playstore , kama ni mvivu wa kutembelea website nyingi , unacho Fanya una add link ya websites inazopenda kwenye hiyo app, halafu inakuwa inakuletea habari mpya kila wakati.
Angalia screen shot hapo chini.
![]()
Mkuu ikiwezeka eka link"Feedly" ipo playstore , kama ni mvivu wa kutembelea website nyingi , unacho Fanya una add link ya websites inazopenda kwenye hiyo app, halafu inakuwa inakuletea habari mpya kila wakati.
Angalia screen shot hapo chini.
![]()
hiyo channel inaitwaje....Ukitaka ufulahie uzuri wa mobdro uwe na network kuanzia 3g na kuendelea ila ubaya mwingine ina hustler tv kwa kuonyesha ngono tup kwa ambao wenzangu na mm weka mbali na watoto.
Pia haina tv chaneli za ndani.
Kama unatumia pc..Hapana nataka app ambayo ntapakua series za korea
Mkuu mbona kwenye list ya channels haipo hiyo hustler TV ; hahaaaaa....Ukitaka ufulahie uzuri wa mobdro uwe na network kuanzia 3g na kuendelea ila ubaya mwingine ina hustler tv kwa kuonyesha ngono tup kwa ambao wenzangu na mm weka mbali na watoto.
Pia haina tv chaneli za ndani.
Hustler Tv haipo mkuu [emoji23]..Mkuu mbona kwenye list ya channels haipo hiyo hustler TV ; hahaaaaa....
Wala supersport haipo
Nilikuwa nataka hiyo ya ma-hustler hiyo playboy sijui km ipo ila kuna moja inaitwa sijui Girl kitu gani gani ...m[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]Hustler Tv haipo mkuu [emoji23]..
Nahisi kuna playboy tv, kuna olala etc.
Pia kuna bein sports not super sports....