Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zbc2Jamani mimi nataka niangalie hii Olympic game ya Rio channel gani zinaonyesha kwenye mobdro sports channel?
Msaada tafadhali.
sio lazima udownload app....unaweza pakua tuNenda google search app inaitwa videoder.
Kiajesio lazima udownload app....unaweza pakua tu
unatumia browser gani mkuu?Kiaje
santeeeTumia Lockdown Pro.. Unaweza lock kila application unayotaka.. Unaweza lock picha mojamoja... Pia unaweza kujua aliejaribu kuunlock sim yako sababu unaweza kuset m2 akikosea password inampiga picha bila kujua...
naweza pata link yake?
boss mi nimedownload hyo mobodro ila sioni channel yyte... natakiwa kufanya nn...?Wakuu tuambizane katika experience ya apps zipi ambazo unaona bila hizo huwezi kuona thamani ya simu yako...
Mi naanza na mobdro app noma sana
Link ya kudownload MOBDRO
Charlie mobdro.apk
============
Naomba link yakeMe natumi KEEPSAFE kaz ya app hii na faida yake ni kuifadhi picha ukidowload unaikingia kwa kutumia email na password inaifadhi picha ata simu yko ikipotea na pale utaponunua simu nyngne basi picha zako utazikuta pamoja na videos na documents nyngne unazotaka kuifadhi
Zipo bhana!!!...jaribu na hii NATO Kali kama Mobro inaitwa hotstar ipo playstorejamani wa hyo mobodro mbna sioni channels..?
Dream leaguewakuu natafuta game ya mpira ambayo naweza kucheza nikiwa offline(bila internet)
Tumia xposed installer. Under download search for ifont, install then activate. Halafu fanya hilo la kuchange font.Mkuu naomba msaada wa apps nzuri ya fonts kwenye simu ya TECNO C9...nimeroot ila nikidownlod ifont kwenye playstore niki badili ina change kwenye browser tu ila kwenye kichwa cha simu aibadiliki...
Hata mi kwangu ilikuwa hivyo,ila kuna mtu akanishauri ni restore baada kufanya hivyo mambo yakawa safiMkuu naomba msaada wa apps nzuri ya fonts kwenye simu ya TECNO C9...nimeroot ila nikidownlod ifont kwenye playstore niki badili ina change kwenye browser tu ila kwenye kichwa cha simu aibadiliki...
yaan uko kwenye akili yanguHapana nataka app ambayo ntapakua series za korea