test man
JF-Expert Member
- Aug 13, 2016
- 1,014
- 955
nami 0759 124940Mkitengeneza mniunge. 0765155221
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nami 0759 124940Mkitengeneza mniunge. 0765155221
Vip mkuu ni mpaka simu iwe rooted ndio unaweza kuitumia???Kuna hii app Link2sd ichekini pia ni nzuri sana .
Kama jina linavyojieleza ni link to SD. Hii inamaanishasha uweza iongezea internal phone memory kwa kutumia some of SD card memory.
Kwa mfano kama una memory card ya GB 32.
GB 16 unaweza kuzi link zikatumika kama internal memory na 16 zinazobakia zikatumika kwenye external. Simu inakuwa na kasi ya ajabu ukiwa na internal memory kubwa
Ndio mkuuVip mkuu ni mpaka simu iwe rooted ndio unaweza kuitumia???
Rudia rudia mara nyingi itafika 100%Simu yangu ni tecno c9 nmetumia king root na ikifika asilimia 72 ndo inaniletea ujumbe huu, nifanyeje ili na mm niweze kuiroot simu yangu.
Popcorn nomaa nzuri sanaJaribu megabox HD.apk au popcorn. apk
Hivi kuroot kuna maana gan?Simu Aina Gani?? Kwa Kufata Maelekezo Ya Humu Humu Umeshindwa Kuroot??
Kuna maanisha uusome huu uzi wote uelewe. Kila kitu kimeelezewa humo.Hivi kuroot kuna maana gan?
Sasa c uwa delete tu mpk App ya nn mkuuIvi hakunaga Application ambayo itakuwa na uwezo wa Kuscan Contacts kila baada ya wiki/mwezi kudetect namba ambazo ni Useless (Hazitumiki) maana khna watu nina Contacts zao ila mawasiliano nao eti mpaka mimi niwapigie simu Asa nimechoka na huu upuuzi wakufuta namba Manually
Kama kuna mtu anaijua naomba anisaidie...
Wabongo kwa uvivu, kuna mtu atakuja kuulizia app ya kwenda chooni wakati ye anachati.Sasa c uwa delete tu mpk App ya nn mkuu