CHURADUME
Senior Member
- Jul 18, 2016
- 142
- 125
Au "smart lock ,"Hivi mtu unaweza kufichaa app katika simu yako ambyo utaki mtu hazione
seach google
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au "smart lock ,"Hivi mtu unaweza kufichaa app katika simu yako ambyo utaki mtu hazione
.Nini unata baada ya rooted?''sim yako iko tayar rooted..Kuna kubadili vision baada ya rooted..pia unaweza kufuta apps ambazi mwanzo hukua na ruhusa ya kufanya hivyooo.. SO wewe uliroot ili ufanyaje....angalizio. Kuroot sim Alaf ukafanya update imekula kwako"
Majib tafadhi nisaidieni hilNard hk tena naomba msaada sam huawei 360 , inatabia ya ku sleep kila wakat. Napofungua kitu chochote pia huchelewa sana kutokea ktk screen, inaboa sana hta nakosa radha ya kutumia smart, ila internal space haijajaa shda nn? Pia inachemka sana
.
Nikifanya updates zipi ndio imelula kwangu? Mbona ujumbe wa kutisha huu? Laki tano ya simu nyingine hiki kipindi cha Magu ni mtihani mzito
Updated Tenzi za Rohoni - Android Apps on Google Play
PoaAsante ndg nimefanikiwa
Sawa mkuuTafuta app inaita keepvid ni nzuri sana
Umeallow access root kwenye hiyo luck patcherWakuu msaada wenu tafadhari nimedownload supersu ila luck patcher haimove app to sdcard inanipa msg hizi simu yangu tecno j8 niliiroot kwa kingroot![]()
![]()
Inaitwaje hiyo appInakujulisha raini mpya ikiwekwa kwenye simu yako kama MTU kakuibia simu akitia raini yake inakujulisha kwa no ya simu uliyo ichagua kuwa simu yako imetiwa rain yenye no xxxxxxxxx hiyo unaweza kumjua aliye chukua simu yako nakama umetia kwa MTU wako wa karibu akibadili raini unajua no mpya anayo tumia
Videoder is the bestApp ya download video youtube nzur ipi wadau..tufamiishane
Shirikisha idea utendaji wake wa kaziAsante ndg nimefanikiwa
Anagalia resolution, hakikisha resolution ni 720hd nakuendeleaMkuu hii ndo natumia lkn video zake nkipakua hazina ubora zinaonyessha ukung flan iv.
Mkuu ndo wana allow vipiUmeallow access root kwenye hiyo luck patcher
Umeroot kwa kutumia applicatication ganiMkuu ndo wana allow vipi
Ukitaka ufulahie uzuri wa mobdro uwe na network kuanzia 3g na kuendelea ila ubaya mwingine ina hustler tv kwa kuonyesha ngono tup kwa ambao wenzangu na mm weka mbali na watoto.
Pia haina tv chaneli za ndani.
Download thetruthspyJins gan naweza kuhuck namba ya mtu nikaona mawasiliano yake
KingrootUmeroot kwa kutumia applicatication gani