Tushirikishane 'Apps' nzuri za simu za Android

Tushirikishane 'Apps' nzuri za simu za Android

Jinsi ya kuroot simu
Hatua yakwanza
1.hakikisha simu yako ina chaji asilimia zaidi ya 50 hili kufanikisha zoezi zima maana mpaka likamilike linakula chaji nyingi zaidi all most 15 ya simu

2.nenda setting kisha buld number kisha bofya mala saba(seven times)itakwambia your now a developer hapo hatua ya pili imekamilika

3.nenda unknown source weka tiki kama ipo acha hivo hivo

4.nenda Google search engine search king root 4.o kisha iistall kwenye simu yako

5.fungua iyo king root apk app iyo itaitambua simu yako automatically na itakupa option ya try now utabofya pale itaanza procedure za kuroot inatumi dk 10 tu kuroot simu

Note:kuroot kunaipotezea simu uhalisia na kuifanya warranty ya simu kuwa expired

Mie sihusiki kwa chochote nimekupa tu procedure

Shedede
Kingroot ina ishia lollipop, marshmallow na Naught king root inachemka.
 
Jinsi ya kuroot simu
Hatua yakwanza
1.hakikisha simu yako ina chaji asilimia zaidi ya 50 hili kufanikisha zoezi zima maana mpaka likamilike linakula chaji nyingi zaidi all most 15 ya simu

2.nenda setting kisha buld number kisha bofya mala saba(seven times)itakwambia your now a developer hapo hatua ya pili imekamilika

3.nenda unknown source weka tiki kama ipo acha hivo hivo

4.nenda Google search engine search king root 4.o kisha iistall kwenye simu yako

5.fungua iyo king root apk app iyo itaitambua simu yako automatically na itakupa option ya try now utabofya pale itaanza procedure za kuroot inatumi dk 10 tu kuroot simu

Note:kuroot kunaipotezea simu uhalisia na kuifanya warranty ya simu kuwa expired

Mie sihusiki kwa chochote nimekupa tu procedure

Shedede
Asante
 
Jinsi ya kuroot simu
Hatua yakwanza
1.hakikisha simu yako ina chaji asilimia zaidi ya 50 hili kufanikisha zoezi zima maana mpaka likamilike linakula chaji nyingi zaidi all most 15 ya simu

2.nenda setting kisha buld number kisha bofya mala saba(seven times)itakwambia your now a developer hapo hatua ya pili imekamilika

3.nenda unknown source weka tiki kama ipo acha hivo hivo

4.nenda Google search engine search king root 4.o kisha iistall kwenye simu yako

5.fungua iyo king root apk app iyo itaitambua simu yako automatically na itakupa option ya try now utabofya pale itaanza procedure za kuroot inatumi dk 10 tu kuroot simu

Note:kuroot kunaipotezea simu uhalisia na kuifanya warranty ya simu kuwa expired

Mie sihusiki kwa chochote nimekupa tu procedure

Shedede
Je vp kuhusu vitu vyangu vilivyomo havitafutika au kupotea!?
 
TV Mubashara App. Angalia TV live kwenye simu yako bofa hapa kuipakua

tv.png

itv.png
 
Kwa hiyo malipo ni kwa mwezi mimi nilifikili kwamba ukishalipia tayari wanakutumia code na unatumia bila mipaka ya muda
 
Pia kuna hii news app ya kitanzania inaitwa 'Zinazosomwa' inapatikana google play kupitia link hii: Zinazosomwa – Applications Android sur Google Play

App hii ina uwezo wa kugundua ni jambo gani au mtu gani maarufu anavuma Tanzania katika siku. Hili linawezekana kwani app hii ina intelligence au uwezo wa kukusanya habari kutoka kwenye blogs na news sites maarufu Tanzania zaidi ya 35. Inazichambua habari hizi na kugundua jambo gani au mtu gani antrend Tanzania.

Pia app hii inapangilia habari katika topic au mada mbalimbali kama siasa, michezo, burudani, uchumi n.k ili kumrahisishia msomaji. Pia inampa mtumiaji uwezo wa kuchagua topic au mada za habari ambazo anataka app hii iwe inamletea na zipi isimletee. Hii inasaidia mtumiaji kusoma habari ambazo anapenda kuzisoma.

8d850a88b166789d26d779ee70dccf7b.jpg


ce20b4073b3223b44a66494518010d5f.jpg


156b989248caa6adac7c3a15d7250ff3.jpg


6d0ea41c8e3c980810f531654985da93.jpg


Mimi ni developer wa hii app, nitafurahi kusikia maoni yenu kwenye thread hii: App ya kwanza inayoonesha mambo yanayovuma Tanzania
Congr brother[emoji119]
 
Back
Top Bottom