Na hata sio mnene ni maumbile tuLabda ila wengi wanayo kwa sababu ya unene uliopitiliza.
Duh kazi ipoPole mheshimiwa
Mheshimiwa anataka kutoa michirizi ya kitambi.Wengine wanapambana kutoa umaskini wengine wanapambana na michirizi ππ
Kwa wanawake ndio inasababishwa na unene. Ila kwa wanaume inasababishwa na gubu.Punguza unene kwa mazoezi kila siku mheshimiwaπ€
muanze mazoezi asinenepeNa hata sio mnene ni maumbile tu
Ni maumbile sio unene wapo wembamba wengi tu wana hiyo michirizi, sema ndo hivyo kwa mwanaume haivutii km mwanamkemuanze mazoezi asinenepe
Sawa mkuu ila kwa wanawake rangi ya christina shusho au To yeye michirizi inavutiaga sanaNi maumbile sio unene wapo wembamba wengi tu wana hiyo michirizi, sema ndo hivyo kwa mwanaume haivutii km mwanamke
Ndio kina michirizi mizuri?Mnoo
Iwe km ya kwenye kiazi kitamu kuna michirizi imekaa vibaya, tafuna kiazi kitamu kilichokomaa
Kitafute halafu utanipa mrejesho hata kukitizama macho yanafurahi na ndo michirizi ya utamuNdio kina michirizi mizuri?
Aachane nayoKwa hiyo unataka kufikisha ujumbe gani kwa mleta madaπ
Sawa nitakitafuta nikizingatie nione yaliyomo yamoKitafute halafu utanipa mrejesho hata kukitizama macho yanafurahi na ndo michirizi ya utamu
Wakiume kabisa una michirizi kila kona ya mwili serious,ungetuambia misuli ungeelewekaHivi kumbe hii michirizi ya sehemu za makwapani, tumboni, mapajani, nyuma ya magoti n.k huwapata hata wanaume pia? nilidhani ni kwa wanawake tu.
Ni vizuri kushirikishana namna ya kuzizuia tafadhali, naona zinawakosesha amani na kujiamini waungwana...
Halafu ukute mtu anavyo vyote sasa,ni mtihani mkubwa.Wengine wanapambana kutoa umaskini wengine wanapambana na michirizi ππ