Tushirikishane mbinu za kuondoa michirizi

Wakiume kabisa una michirizi kila kona ya mwili serious,ungetuambia misuli ungeeleweka
 
Kwa Ke awe nayo ktk makalio.. aiseee kama HALFCAKE iliyokwiva vzr...
 
Kuna michirizi na michirizi iliyochanganyika na uvimbee...
 
Wengine wanapambana kutoa umaskini wengine wanapambana na michirizi πŸ˜ƒπŸ˜ƒ
Halafu ukute mtu anavyo vyote sasa,ni mtihani mkubwa.

Anyway,kama walivyosema wengi hiyo hali inahisiwa kutokana na kunenepeana hovyo (kwa case nyingi) so ni vizuri tuwe na utaratibu wa kufanya mazoezi,mazoezi kama ya kukimbia au kutembea yanasaidia sana kuutengeneza mwili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…