πππππππUmenikumbushaa. Juzi nilipoteza mda wangu stend kwa kusubiri Gari yenye siti za mbele, mwishowe Nilisimama safari nzima masaa 8 + kufika usiku.
Weee bata[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji28][emoji28][emoji28]Pole mkuu ila ndousirudieUmenikumbushaa. Juzi nilipoteza mda wangu stend kwa kusubiri Gari yenye siti za mbele, mwishowe Nilisimama safari nzima masaa 8 + kufika usiku....
Ulikua usiku mgumu sana kwangu ulee
Daaa nimecheka peke yanguUmenikumbushaa. Juzi nilipoteza mda wangu stend kwa kusubiri Gari yenye siti za mbele, mwishowe Nilisimama safari nzima masaa 8 + kufika usiku....
Ulikua usiku mgumu sana kwangu ulee
Sawa evil spiritKusoma thread yako na kwenyewe ni kupoteza muda
[emoji23][emoji23][emoji23]umesafisha geto,umenunua msosi na vinywaji.. umechoma na CD Kali Kali,umeoga umekata nakucha ili usije mkwangua,umeandaa na zana then akija gheto anakwambia "Baby nipo kwenye siku zangu!!"
Yani hapo si muda tu wakawaida umepotea hata ule muda wa ziada nao kwisha habari .. akiwa anakuaga anaondoka unaweza hata kudondosha chozi jicho moja tu..[emoji23]