Mtetezi.com
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 3,134
- 3,584
Mara nyingi katika jamii zetu kumekuwa na tabia ya watu kurushiana matusi la hasha tusio neno au jina la sehemu bali ni kutokana na tabia ya sehemu fulani kwa mfano;
1, Puru, tundu la kutolea haja kubwa ni moja ya tusi kubwa sana hasa kwa jamii za Arusha mjini na kwingineko!
Kwanini sehemu hiyo hutafsirika kama tusi ni kwakuwa sehemu hiyo kazi yake ni kutoa uchafu hivyo likitamkwa hujenga taswira ya ule uchafu unaotolewa na kwa bahati mbaya sikuhizi imepewa kazi nyingine kinyume na kazi iliyoumbiwa, jiulize tu hili swali neno mdomo, mkono au mguu kimaandishi lina tofauti gani na mkun...nd.
2, Uke, hii ni sehemu muhimu sana kwa mwanadam si ke wala me but imekuwa ikitumika kama tusi kwani imekuwa ikitumika vibaya sana na bht mbaya kwa jamii za nyuma kidogo kile kitendo cha kujamihiana kilitafsirika kama aibu kwa mwanamke but sikuhizi imekuwa sifa hivyo mtu akiitwa ku..... anaweza kupigana nusu kufa shida sio hilo neno shida ni hiyo kitu kwani neno au kiungo kama k inatofauti gani kimaandishi au kimatamshi na kongosho, kidari nk
NB
Maana ya kitu chochote ni hutokana na kitu unavyokitafsiri hivyo maneno sio matusi bali tusi ni jinsi unavyolifikiria lile neno kwa mazingira yako na dhana uliyo nayo juu ya kitu/sehemu hiyo .
Tutaendelea siku nyingine.
1, Puru, tundu la kutolea haja kubwa ni moja ya tusi kubwa sana hasa kwa jamii za Arusha mjini na kwingineko!
Kwanini sehemu hiyo hutafsirika kama tusi ni kwakuwa sehemu hiyo kazi yake ni kutoa uchafu hivyo likitamkwa hujenga taswira ya ule uchafu unaotolewa na kwa bahati mbaya sikuhizi imepewa kazi nyingine kinyume na kazi iliyoumbiwa, jiulize tu hili swali neno mdomo, mkono au mguu kimaandishi lina tofauti gani na mkun...nd.
2, Uke, hii ni sehemu muhimu sana kwa mwanadam si ke wala me but imekuwa ikitumika kama tusi kwani imekuwa ikitumika vibaya sana na bht mbaya kwa jamii za nyuma kidogo kile kitendo cha kujamihiana kilitafsirika kama aibu kwa mwanamke but sikuhizi imekuwa sifa hivyo mtu akiitwa ku..... anaweza kupigana nusu kufa shida sio hilo neno shida ni hiyo kitu kwani neno au kiungo kama k inatofauti gani kimaandishi au kimatamshi na kongosho, kidari nk
NB
Maana ya kitu chochote ni hutokana na kitu unavyokitafsiri hivyo maneno sio matusi bali tusi ni jinsi unavyolifikiria lile neno kwa mazingira yako na dhana uliyo nayo juu ya kitu/sehemu hiyo .
Tutaendelea siku nyingine.
Last edited: