TUSIAKUZE MAMBO, WA ISRAEL NI WA KAWAIDA

TUSIAKUZE MAMBO, WA ISRAEL NI WA KAWAIDA

ward41

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2022
Posts
749
Reaction score
2,533
Kuna watu wanawakuza wa Israel kana kwamba wana uwezo watisha Sana. Jibu ni hapana. Wa Israel ni wakawaida. Hawana utofauti na jamii nyingine. Wana akili kama binadamu yeyote au kama wewe. Hawana kitu cha ziada.

Kinachowawafanya Wa Israel wa survive ni maombi ya wa kristo duniani. Ukweli ni kwamba taifa hilo linaombewa Sana kuliko taifa lolote duniani.

Nyuma ya Israel kuna wa kristo wanaomba kwa ajili Yao kutimiza unabii. Ukiondoa wa kristo duniani waombaji, Israel ni sifuri. Hana kitu. Maombi ndiyo yanafanya waonekane wana ulinzi na Baraka nyingine.

Wenyewe wa Israel hamna kitu pale watapigwa sekunde na maadui zai. Ukristo ndiyo nguzo Yao japo wao hawafahamu.

Wa kristo ndo tunasimama pamoja nao sirini vyumbani tukiwaombea kila Kona ya dunia
 
Kuna watu wanawakuza wa Israel kana kwamba wana uwezo watisha Sana. Jibu ni hapana. Wa Israel ni wakawaida. Hawana utofauti na jamii nyingine. Wana akili kama binadamu yeyote au kama wewe. Hawana kitu cha ziada.

Kinachowawafanya Wa Israel wa survive ni maombi ya wa kristo duniani. Ukweli ni kwamba taifa hilo linaombewa Sana kuliko taifa lolote duniani.

Nyuma ya Israel kuna wa kristo wanaomba kwa ajili Yao kutimiza unabii. Ukiondoa wa kristo duniani waombaji, Israel ni sifuri. Hana kitu. Maombi ndiyo yanafanya waonekane wana ulinzi na Baraka nyingine.

Wenyewe wa Israel hamna kitu pale watapigwa sekunde na maadui zai. Ukristo ndiyo nguzo Yao japo wao hawafahamu.

Wa kristo ndo tunasimama pamoja nao sirini vyumbani tukiwaombea kila Kona ya dunia
Acha kuongea pumba. Lile taifa ni urithi wa Mungu mwenyewe aliyezifanya mbingu na nchi na hali zote za hewa. Imeandikwa "Isaya 19:25
kwa kuwa BWANA wa majeshi amewabariki, akisema, Wabarikiwe watu wangu Misri; na wewe Ashuru, kazi ya mikono yangu; na wewe Israeli, URITHI wangu. "
Mungu hawezi kukubali urithi wake ufutike duniani. Ulisema nyuma ya Israel wapo wakristo wanawaombea ni kweli lakini yupo Mungu tena Mungu Bwana wa majeshi.
 
Nyie wakristo mgejiombea nyie kwanza muokoke kabla ya kuwambea kondoo walio potea 😄
 
Kuna watu wanawakuza wa Israel kana kwamba wana uwezo watisha Sana. Jibu ni hapana. Wa Israel ni wakawaida. Hawana utofauti na jamii nyingine. Wana akili kama binadamu yeyote au kama wewe. Hawana kitu cha ziada.

Kinachowawafanya Wa Israel wa survive ni maombi ya wa kristo duniani. Ukweli ni kwamba taifa hilo linaombewa Sana kuliko taifa lolote duniani.

Nyuma ya Israel kuna wa kristo wanaomba kwa ajili Yao kutimiza unabii. Ukiondoa wa kristo duniani waombaji, Israel ni sifuri. Hana kitu. Maombi ndiyo yanafanya waonekane wana ulinzi na Baraka nyingine.

Wenyewe wa Israel hamna kitu pale watapigwa sekunde na maadui zai. Ukristo ndiyo nguzo Yao japo wao hawafahamu.

Wa kristo ndo tunasimama pamoja nao sirini vyumbani tukiwaombea kila Kona ya dunia
Kumbuka qauli hi ya ANUAR SADAT Kabla kuingia mkataba camp David Alisema!; ISRAEL KAMA SIO WACHAWI KUNA MKONO WA MUNGU!
NA AKAAPA KUTOISHAMBULIA TENA ISRAEL!

The Camp David Accords, signed by President Jimmy Carter, Egyptian President Anwar Sadat, and Israeli Prime Minister Menachem Begin in September 1978, established a framework for a historic peace treaty concluded between Israel and Egypt in March 1979.
 
Kumbuka qauli hi ya ANUAR SADAT Kabla kuingia mkataba camp David Alisema!; ISRAEL KAMA SIO WACHAWI KUNA MKONO WA MUNGU!
NA AKAAPA KUTOISHAMBULIA TENA ISRAEL!

The Camp David Accords, signed by President Jimmy Carter, Egyptian President Anwar Sadat, and Israeli Prime Minister Menachem Begin in September 1978, established a framework for a historic peace treaty concluded between Israel and Egypt in March 1979.
Ndiyo maana nasema ni maombi ya wa kristo
 
Back
Top Bottom