Tusibaguane, sote tuliitwa watanganyika

Tusibaguane, sote tuliitwa watanganyika

Manton

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
1,163
Reaction score
1,523
Tarehe 9 ya mwezi wa kumi na mbili, mwaka 1961, Tanganyika ijitwalia uhuru wake toka mikono mwa mwingereza, mlezi wa makoloni yalikuwa chini ya mjerumani baada ya kushindwa vita. Watu wote waliokutwa katika ardhi ya Tanganyika, siku ile ya kuishusha "Union Jack",na kuipeperusha bendera mpya ya Tanganyika huru kisiasa (za ndani), walitambuliwa kama raia wa Tanganyika.

Wazungu, wahindi, wasomali, wahutu, watutsi, wakiga, waarabu, na kadhalika. Ikumbukwe Magufuli alizaliwa tarehe 29.Oktoba.1959, na kama alikuja mgongoni basi, tarehe 9. Desemba. 1961, ili mkuta Tanganyika. Najivunia utawala wake, wewe je? Ubaguzi ni sawa na kula nyama ya mtu, ukishaionja huiachi.

Hapa kazi tu.
 
Ukijivunia wewe inatosha sina cha kujivunia kupitia yeye. Huwezi kushiriki kwenye kutesa watu, kufanya vile wewe unapenda bila kutazama wangapi wanaumia.

Tunashukuru maombi yetu yalijibu kama alivyokua anasema tumuombee
 
Tarehe 9 ya mwezi wa kumi na mbili, mwaka 1961, Tanganyika ijitwalia uhuru wake toka mikono mwa mwingereza, mlezi wa makoloni yalikuwa chini ya mjerumani baada ya kushindwa vita. Watu wote waliokutwa katika ardhi ya Tanganyika, siku ile ya kuishusha "Union Jack",na kuipeperusha bendera mpya ya Tanganyika huru kisiasa (za ndani), walitambuliwa kama raia wa Tanganyika.

Wazungu, wahindi, wasomali, wahutu, watutsi, wakiga, waarabu, na kadhalika. Ikumbukwe Magufuli alizaliwa tarehe 29.Oktoba.1959, na kama likuja mgongoni basi, tarehe 9. Desemba. 1961, ili mkuta Tanganyika. Najivunia utawala wake, wewe je? Ubaguzi ni sawa na kula nyama ya mtu, ukishaionja huiachi.

Hapa kazi tu.

Alikuja mgongoni 😂😂?

Hiiiiii bagosha!
 
Ukijivunia wewe inatosha sina cha kujivunia kupitia yeye. Huwezi kushiriki kwenye kutesa watu, kufanya vile wewe unapenda bila kutazama wangapi wanaumia.

Tunashukuru maombi yetu yalijibu kama alivyokua anasema tumuombee
Ni utawala upi umepita bila watu kuumia, tangu Tanganyika huru mpaka kuzaliwa Tanzania mwaka 1964? Awamu ya 1. Azimio la Arusha, la Musoma, la Mwanza, vijiji vya ujamaa, Vita ya Kagera. Awamu ya 2: Azimio la Zanzibar, magendo, kufa kwa mashirika ya umma, ujambazi, kushamiri kwa vitendo vya rushwa. Awamu ya 3: Ubinafsishaji, vurugu za mwembechai, shambulio la kigaidi(ubalozi wa Marekani), kuimarisha uchumi,rushwa kuitwa takrima kisheria, kuzama kwa Mv Bukoba, kufukiwa wachimbaji wadogo wadogo mashimoni Bulyankuru,kuanguka kwa treini reli ya kati, vifo vya vurugu za chaguzi Zanzibar(Pemba) wakimbizi kukimbilia Kenya . Awamu ya 4: Dr.Ulimboka kutekwa na kung'olewa meno, Migomo ya watumishi wa umma, vurugu za gesi Mtwara.
 
Tarehe 9 ya mwezi wa kumi na mbili, mwaka 1961, Tanganyika ijitwalia uhuru wake toka mikono mwa mwingereza, mlezi wa makoloni yalikuwa chini ya mjerumani baada ya kushindwa vita. Watu wote waliokutwa katika ardhi ya Tanganyika, siku ile ya kuishusha "Union Jack",na kuipeperusha bendera mpya ya Tanganyika huru kisiasa (za ndani), walitambuliwa kama raia wa Tanganyika.

Wazungu, wahindi, wasomali, wahutu, watutsi, wakiga, waarabu, na kadhalika. Ikumbukwe Magufuli alizaliwa tarehe 29.Oktoba.1959, na kama likuja mgongoni basi, tarehe 9. Desemba. 1961, ili mkuta Tanganyika. Najivunia utawala wake, wewe je? Ubaguzi ni sawa na kula nyama ya mtu, ukishaionja huiachi.

Hapa kazi tu.
Barikiwa
 
Moja ya sifa ya Hayati Mwendazake ni kupenda kupita kiasi chake ukanda wa nyumbani na jamii zake.....ni kama vile umeandika kejeli kumhusu yeye. Mwenyezi Mungu alimpe amlipe na ampokee kwa matendo yake.
 
Moja ya sifa ya Hayati Mwendazake ni kupenda kupita kiasi chake ukanda wa nyumbani na jamii zake.....ni kama vile umeandika kejeli kumhusu yeye. Mwenyezi Mungu alimpe amlipe na ampokee kwa matendo yake.
"Charity begins at home." Mtu kwao. Mkuu, rejea na tawala nyingine zilizopita kabla yake na uliopo.
 
Back
Top Bottom