Ndala katuacha pointi 11, tarehe 8/3 tunamfunga zinabaki point 8 ambazo ni kama gemu 3.. tatzo lililopo ni je ndala ataweza poteza mechi 3 na si tushinde zote?! Jibu ni Hapana. Pia timu zilizo nyuma ya Ndala zipo vizuri, Mf. Kagera Sugar ambayo imeshinda mfululizo mechi za karibuni hadi kufika no. 3.
Timu yetu imekosa consistency ndo mana leo tunashinda kesho tunadraw keshokutwa tunafungwa. Eeeh Mungu saidia hili pepo linalotukumba hivi sasa, liwavuruge pia na watesi wetu wote ili tusichekane mtaani.