Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,649
- 4,786
former AC Milan player
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, wewe timu gani?
Mkuu, wewe timu gani?
Hapo juu cjaelewa....hizo Id ni za watu tofauti ama ni mtu mmoja amejijibu...Duh!
Huenda amekosea kujijibu au alifikiri anajijibu kwa ile ID nyingine! Teh!Hapo juu cjaelewa....hizo Id ni za watu tofauti ama ni mtu mmoja amejijibu...
Atakuwa ni shabiki wa Asernal....amechanganyikiwa kwa kipigo cha Barca....Huenda amekosea kujijibu au alifikiri anajijibu kwa ile ID nyingine! Teh!
Alivyokuwa mnafki eti haishabikii tena Arsenal mpaka Wenger aondoke, si avumilie tu kama yeye kweli die hard fan wa Arsenal!!Huo ndo ukweli, Barcelona Fc haina mashabiki wa kweli kutoka Afrika.
Kwahiyo kama FCB haina hao unaowaita die hard fans, na wewe ni Arsenal die hard fan kinakuuma nini? Au wao kukosa die hard fans wakati we ni die hard fan wa Arsenal (na labda unaamini mko wengi Africa) kinakupungukia nini mpaka ukereketwe? Psychologically kuna kitu unaumia kuhusu ubora wa FCB ndo maana umeandika haya. Maana vinginevyo kama wewe una timu yako unashabikia and you call yourself a die hard fan of it, then what is the issue with FCB? Why cant you leave it alone uendelee na Arsenal yako?
mkuu tutake radhi BARCELONA sie ni zaid ya CHELS10 MAN 6 ARSE8 NA LIVERFOOL na wala hatuyumbishwiHuo ndo ukweli, Barcelona Fc haina mashabiki wa kweli kutoka Afrika. Wengi ni VIHEREHERE TU, wasio jitambua na waliokuwa HEART BROKEN kwa timu zao za EPL kufanya vibaya.
PNC anajua hili, yaani ni MAKAPI ya CHELSICK FC, MANUTD, na ARSENAL fc tena vishabiki vyenyewe ni vile vyenye roho nyepesi kama unyoya.
Nawaheshimu sana FANS wa Liver, wako loyal.
MIMI NI ARSENAL FAN and will ALWAYS BE, ila nami sitakuwa jukwaa la ARSENAL mpaka WENGER AONDOKE!
Mimi ni mwanachama 100% wa BARCELONA cjawahi kuwa na TIMU EPL wala ctoshabikia timu nyingine tofaut na BARCELONA na wala mimi sio kama mashabik wa CHELSEA walioanza ijua timu yao 2005 mimi nilikuwepo kipind cha SAVIOLA KLUIVERT RIQUELME ANDERSON hata kabla ya DE LIMA hayo ni kwa kiufup tupnc1 kumbe wewe ni kapi?
bwah ha hah hah haaaah
dah kelele zote zile kumbe muhamiaji haramu?
wewe sio mzima, mwanachama??Mimi ni mwanachama 100% wa BARCELONA cjawahi kuwa na TIMU EPL wala ctoshabikia timu nyingine tofaut na BARCELONA na wala mimi sio kama mashabik wa CHELSEA walioanza ijua timu yao 2005 mimi nilikuwepo kipind cha SAVIOLA KLUIVERT RIQUELME ANDERSON hata kabla ya DE LIMA hayo ni kwa kiufup tu
Mkuu unaonekana leo unataka nikupe darasa ndio mana unafuatilia fact zangu[emoji1] [emoji1] profesaaaa[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]wewe sio mzima, mwanachama??
Tuwekee scanned membership card & receipt!
hahahahahaha hahahaMkuu unaonekana leo unataka nikupe darasa ndio mana unafuatilia fact zangu[emoji1] [emoji1] profesaaaa[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Nyie washabiki wa timu mpya yaani Chelsea iliyojulikana karne ya 21 mnasumbua sanahahahahahaha hahaha
Fact zipo wapi hapo sasa???