Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
na huyo wa kukopa sasa atapita kwa nani? maybe afunge na mkonoMchezaji wao wa mkopo ndio tegemezi lao.
Na wewe unajiita mchambuzi?Wakuu
Ingawa ni ukweli dawa chungu ndo inayoponya, basi hatuna budi kuupokea ukweli huu
Ukimuuliza hata mgunda hapo bado atakwambia the same hawajui watashinda vipi!
Team ipo ipo tu kama mwanamke anayejiuza imepoteza matumaini mbele ya wenzao yanga
Wamezidiwa kila kitu kwanzia
Quality ya wachezaji
Benchi la ufundi
Mafanikio
Takwimu
Robertinho unatakiwa kujua nabi ameshafukuzisha makocha kadhaa hapo mpaka madam ceo kwahiyo mwenzako akinyolewa wewe tia maji
Kocha kama wewe ilikuwaje ukaifundisha team ya masela na wahuni kama simba?
Kikundi tu cha walevi wa wanzuki kimekutana yaani umewezaje?
Kila la kheri kwenye maisha yako mapya nje ya hao wanywa wanzuki.
Ahmed Ally mwenyewe si kasema timu pekee duniani haina wasiwasi na yenye uhakika wa kushinda ikicheza na Simba ni Yanga...inawauma lkn ndo Mungu kashapanga ivyo hawana cha kufanyaWakuu
Ingawa ni ukweli dawa chungu ndo inayoponya, basi hatuna budi kuupokea ukweli huu
Ukimuuliza hata mgunda hapo bado atakwambia the same hawajui watashinda vipi!
Team ipo ipo tu imepoteza matumaini mbele ya wenzao yanga
Wamezidiwa kila kitu kwanzia
Quality ya wachezaji
Benchi la ufundi
Mafanikio
Takwimu
Robertinho unatakiwa kujua nabi ameshafukuzisha makocha kadhaa hapo mpaka madam ceo kwahiyo mwenzako akinyolewa wewe tia maji
Kocha kama wewe ilikuwaje ukaifundisha team ya masela na wahuni kama simba? Kikundi tu cha walevi wa wanzuki kimekutana yaani umewezaje?
Kila la kheri kwenye maisha yako mapya nje ya hao wanywa wanzuki.
Uhakika ndio nini, sisi tunachojua hatuwez kufunngwa na simba labda tufungwe jelaSimba anafunga klabu yoyote hapa barani Afrika kuanzia no.1 sembuse huyu ambae hata top 20 hayumo.Kama Una uhakika bet milion 10 utajirike.
Kikundi cha wahuni kipo Champions leagueWakuu
Ingawa ni ukweli dawa chungu ndo inayoponya, basi hatuna budi kuupokea ukweli huu
Ukimuuliza hata mgunda hapo bado atakwambia the same hawajui watashinda vipi!
Team ipo ipo tu imepoteza matumaini mbele ya wenzao yanga
Wamezidiwa kila kitu kwanzia
Quality ya wachezaji
Benchi la ufundi
Mafanikio
Takwimu
Robertinho unatakiwa kujua nabi ameshafukuzisha makocha kadhaa hapo mpaka madam ceo kwahiyo mwenzako akinyolewa wewe tia maji
Kocha kama wewe ilikuwaje ukaifundisha team ya masela na wahuni kama simba? Kikundi tu cha walevi wa wanzuki kimekutana yaani umewezaje?
Kila la kheri kwenye maisha yako mapya nje ya hao wanywa wanzuki.