Tusidanganyane, NoFap Challenge sio suluhisho la punyeto

Tusidanganyane, NoFap Challenge sio suluhisho la punyeto

Na hii ni kwa sababu Dopamine hormone inakuwa disturbed kwa kipindi kirefu, ukisema ujizuie wewe kama wewe ni ngumu, utakuwa unapata hisia zisizo na mfano, muda wote utakuwa unawaza mapenzi! Siku ikukute uko vibaya, ipite mbususu inalitingisha huku linamwagika au kusuguana na muda huo uko mazingira rafiki, kwisha habari!

Punyeto ni sawa na Pombe, huwezi acha kirahisi rahisi!

Tafuteni Dawa, narudia Tafuteni dawa!
Si useme tu unauza dawa [emoji16][emoji16]

Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
 
dopimine sio hoemone bro dopamine ni chemical ukiwa unaongelea masuala ya hormone na uzazi ongerea testeterogen hormone
Nmestuka sana kwamba dopamine ni hormone

Nikaanza kujiuliza kama syllabus ya biology imebadilika au vp
 
Mwamba naona comment yng umeifanyia lamination[emoji1787][emoji1787] sisi ma retired chaputa superstars tunaona matokeao ya no fap mkuu....


No fap uki combine na techniques zingine unaacha nyeto..[emoji1787]
 
Kwanza niwahase "tutafute hela" tuache kuuchochea umaskini, maake pasipo pesa, story za kahawa ndipo zinapoanzia! NoFap ni mchezo kama ilivyo michezo mingine kama Riadha, Mpira wa miguu ama mieleka! Sasa acha kusema "Ninafanya hivi ili kutokomeza tabia ya kupiga punyeto" Unafeli pakubwa!

Mwandishi wa makala ya kujizuia kupiga punyeto, makala yake mwenyewe ilimshinda kujizuia! Ni sawa na mwanzilishi wa pesa alivyokufa kwa madeni!

Alichekesha umma kwa kusema 1. Acha tabia ya kujitenga na kukaa peke yako 2. Epuka kutazama picha na video za ngono 3. Jaribu kuwa na mpenzi kisha muelezee tabia yako 4. Shiriki katika michezo na mazoezi 5. Usikawie kutoka bafuni 6. Pakaa mikono yako pilipili nyakati za kulala

[emoji3516][emoji3516][emoji3516] RUBBISH, Ujng mtupu!
Najua wanaume wote hatutamani huu mchezo, na wengi mmejaribu huo ujng! Kama kuna aliyefanikiwa kwa hizo hatua hapo juu aniiite "mbw" niko pale Radio X natangaza kipindi!

Nawahasa "Tafuteni hela! Narudia "Tafuteni hela" Punyeto ina tiba!

Yote tisa, wamasai wa Ngorongoro na Arusha huwaoni? Au unakutana na hawa wa Dar na Mwanza! Sawa, myegeya huufahamu? Chukua unga wake kutoka kwenye tunda lake lililokauka, kupondwa pondwa kisha kusagwa! Changanya na maji ya uvuguvugu, kunywa, kisha leta mrejesho hapa [emoji34][emoji34][emoji34]

Halafu uje unambie ulivyokaa ndani peke yako ulipiga punyeto?

Acha kuhesabu siku




Pia soma:
YANI KUNA DAWA YA KUACHA PUNYETO SJAELEWA HAPO
 
YANI KUNA DAWA YA KUACHA PUNYETO SJAELEWA HAPO
Sio tu hivyo, nashangaa kuona ni kwanini wanaume hatuambiani, watu wanatumia kimyakimya na hawasemi! Hizo tabia ni za jinsia KE

Hata mimi mwenyewe siwezi sema..
[emoji18][emoji18]
 
Patern ya tabia na vianzilish vyake huwaga tunavijua sema Sasa ujeuri TU.
 
Kumbe nyeto ni janga hivi...!!

Fanyeni mazoezi na kupunguza vyakula vya wanga itasaidia kuwa na nyege mshindo.

Pia tujaribu kuweka akili zetu busy hata kwa kujifunza vitu vipya....
 
Kuna kipind nilipiga sana ila nikaja kuona kua mazingra ya upweke sana ndo yanasababisha kingine kama
Huish na mwanamke itakuchukua muda sana kuacha hata ukisema uwe busy na kaz utapiga tu
 
Back
Top Bottom