Tusidanganyane, NoFap Challenge sio suluhisho la punyeto

Si useme tu unauza dawa [emoji16][emoji16]

Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
 
dopimine sio hoemone bro dopamine ni chemical ukiwa unaongelea masuala ya hormone na uzazi ongerea testeterogen hormone
Nmestuka sana kwamba dopamine ni hormone

Nikaanza kujiuliza kama syllabus ya biology imebadilika au vp
 
Mwamba naona comment yng umeifanyia lamination[emoji1787][emoji1787] sisi ma retired chaputa superstars tunaona matokeao ya no fap mkuu....


No fap uki combine na techniques zingine unaacha nyeto..[emoji1787]
 
YANI KUNA DAWA YA KUACHA PUNYETO SJAELEWA HAPO
 
YANI KUNA DAWA YA KUACHA PUNYETO SJAELEWA HAPO
Sio tu hivyo, nashangaa kuona ni kwanini wanaume hatuambiani, watu wanatumia kimyakimya na hawasemi! Hizo tabia ni za jinsia KE

Hata mimi mwenyewe siwezi sema..
[emoji18][emoji18]
 
Patern ya tabia na vianzilish vyake huwaga tunavijua sema Sasa ujeuri TU.
 
Kumbe nyeto ni janga hivi...!!

Fanyeni mazoezi na kupunguza vyakula vya wanga itasaidia kuwa na nyege mshindo.

Pia tujaribu kuweka akili zetu busy hata kwa kujifunza vitu vipya....
 
Kuna kipind nilipiga sana ila nikaja kuona kua mazingra ya upweke sana ndo yanasababisha kingine kama
Huish na mwanamke itakuchukua muda sana kuacha hata ukisema uwe busy na kaz utapiga tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…