willy ze great
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 1,071
- 1,303
Binadamu wote ni sawa maandiko yamesema mwenye juhudi na afanikiwe
Hiyo umejaribu ku guess lakini sio uhalisia jamaa anazaidi ya 35Ukitaka kujua umri wa samata angalia aliingia simba mwaka gani na hadi sasa ameshatumia miaka mingapi nje ya Tanzania but Kama sikosei huu ni mwaka WA kumi sasa toka aondoke simba so let say simba alicheza akiwa na miaka 20 plus miaka 10 ya kuwa nje ya Tanzania atakuwa na miaka 30 plus
Baba yangu afanikiwe mara ngapi sasa? Ameshafanikiwa kiasi cha juhudi zakeOK nimeona tatizo lilipo, kama kwako hakuna tofauti kati ya kufanikiwa kwa foreigner na mwenyeji basi bado tuna safari ndefu sana, labda nikuulize kati ya Drogba na Baba yako ungependa yupi afanikiwe kama binadamu wote ni sawa kama ulivyosema?
Baba yangu afanikiwe mara ngapi sasa? Ameshafanikiwa kiasi cha juhudi zake
Afanikiwe mara ngapi na wewe nyie watoto wa 2000 shule mnajifunza english tu?Haujajibu bado, kati ya Baba yako na Drogba ungependelea yupi afanikiwe zaidi? Hakuna mwisho wa mafanikio, vinginevyo akina Bill Gates wasingefanya kazi hadi leo hii.
Unaelimu gani? Tuanze na hapo?Hivi unafahamu kwamba rais Magufuli ni mdogo kiumri kwa rais Kikwete?
Uafahamu rais Kikwete ni kaka yake kiumri Lowassa?
Hata Makonda ni mdogo kwa Waziri Jaffo, hushangai?
Afanikiwe mara ngapi na wewe nyie watoto wa 2000 shule mnajifunza english tu?
Tuanze na hapa baba yangu unamjua ni nani?
Itakuwa 100 kama sio 200 au 50 kama vile 60 iviBasi ana 34
Samagoal kafanana na mr.nice