Tusidanganyane: Samatta ana miaka zaidi ya 35; mtazame yeye kisha mtazame Drogba

Tafuteni hela nyie watu kwa nini mbishane kuhusu umri wa mtu
 
Acha kuteseka mtoa mada! Hata akiwa na miaka 100 wewe utapungukiwa nini?
 
Ni kawaida kwa wachez kudanganya, atahvyo waafrica hatuchoki mapema ka wazung mana mazoez yetu ni mpaka ufanikiwe kuchezea club kubwa sana
Ni kama mwaka juz mdogo wake wanyama alkuwa anasherekea miaka 27 ila ila wanyama ni 24

Af samata kawaje na miaka 23 kasoro
 
Samatta ni bwana mdogo wa juzi tuu umri wake haujazidi 26.Kwa tunaofatilia soka.mtoa mada unafatilia sura historia huijui toka yupo lyoni........
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndio hivyo bro tena huyo jamaa umri wake ndio umeganda hautembei kabisa na usipokua makini utampita sasa hivi
Mimi namzidi Sadio Mane, Wanyama na Diego Costa zaidi ya miaka mi4 lkn nashangaa sana kwanini usoni ni wakubwa sana kuliko mimi wa 86 ikiwa bado nina mwili mkubwa kuliko wao [emoji848][emoji28]
 
Mimi namzidi Sadio Mane, Wanyama na Diego Costa zaidi ya miaka mi4 lkn nashangaa sana kwanini usoni ni wakubwa sana kuliko mimi wa 86 ikiwa bado nina mwili mkubwa kuliko wao [emoji848][emoji28]
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Watu wana vyeti viwili viwili mkuu hao jamaa hujawapita ni kaka zako tu

Nakupa homework mfanyie ushushushu na Kagele...
 
Huyo ndiye Baba lao kuliko hata wachezaji wote tunaowajadili hapa uwanjani, sema tu huwa namkubali sn anavyojituma uwanjani kwa nguvu alizonazo kutetea umri wake kuliko Okwi[emoji119][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] Watu wana vyeti viwili viwili mkuu hao jamaa hujawapita ni kaka zako tu

Nakupa homework mfanyie ushushushu na Kagele...
 
Huyo ndiye Baba lao kuliko hata wachezaji wote tunaowajadili hapa uwanjani, sema tu huwa namkubali sn anavyojituma uwanjani kwa nguvu alizonazo kutetea umri wake kuliko Okwi[emoji119][emoji23]
Nikweli Kagele kwa utuuzima aliokuanao anafanya makubwa hivi tumuombee akifika ujana naimani atafika mbali sana πŸ˜€
 
Umri wa Mtanzania kuujua muulize kwa Matukio tu labda Nyerere alipofariki alikuwa wapi, vinginevyo hakuna mwenye 30
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…