Arch Barrel
JF-Expert Member
- Feb 1, 2024
- 434
- 1,126
Masikini wezangu, kutokana na mgomo ambao umetangazwa na wafanya biashara wa Kariakoo wa kutofungua maduka mpaka changamoto zao zitakaposilizwa na Serikikali,
Mimi mwenyekiti wa Masikini Tanzania, ninomba tuungane na hao wafanya bishara ili changamoto zetu zitatuliwe pia
Scheme za umwagiliaji zipo nyngi sana Tanzania, katika hizo ni ngapi zinazofanya kazi kwa ufanisi?
Maskini wa mwisho Tanzania ni MKULIMA
Mimi mwenyekiti wa Masikini Tanzania, ninomba tuungane na hao wafanya bishara ili changamoto zetu zitatuliwe pia
Scheme za umwagiliaji zipo nyngi sana Tanzania, katika hizo ni ngapi zinazofanya kazi kwa ufanisi?
Maskini wa mwisho Tanzania ni MKULIMA