Tusiendekeze Ngono. Tendo la ndoa liwe kwa makusudi ya uumbaji tu

Sijakufanya mjinga Mkuu. Niambie ni wanyama gani hufanya mapenzi kama Starehe?
Una akili za mnyama gani? Unataka kulinganisha binadamu na nyumbu? Ulishaona mnyama anatamani kufanya ngono? Hayo NI maumbile ndo maana watu wanaoa Hadi wake wanne ili waendelee kungonoka kila wakihitaji.

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Pomboo

Nguruwe

Simba
Na Binadamu pia.
Halafu kumbe Simba huwa wanafanyana kwa starehe!. Ndio maana kumbe hata timu ya Simba inapenda kucheza mpira wa Burudani na Starehe.
 
muulize mzazi wako, "wewe ulizaliwa kwaajili ya starehe zao yaani kupigana mikasi ama walipigana mikasi ili uzaliwe?
 
Sijakufanya mjinga Mkuu. Niambie ni wanyama gani hufanya mapenzi kama Starehe?
Kama haujui Biology kaa kimya,Kuna wanyama wanafanya sex Kama starehe mfano binadamu,sokwe nk na Kuna wanyama wanasex kwa ajili ya kuzaa tu mfano Simba nk.So usilazimishe wote tuwe sawa,nakushauri tu nenda katibiwe Kama una tatizo la hisia sisi wengine tuko kamili.Pole kwa kuumwa
 
Sijakufanya mjinga Mkuu. Niambie ni wanyama gani hufanya mapenzi kama Starehe?

Hivi wanyama wanafanya mapenzi au ngono?
Nadhani Sisi binadamu na aina fulan ya nyani (nimesahau) tunafanya mapenzi [emoji23][emoji23][emoji23]
 
mkuu usitufananishe na wanyama kabisa wao ndio wanashida wanawaingilia hadi wazazi wao wakuwaza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…