Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tangu baada ya mechi jana haujatulia, mawazo yako Simba ingepoteza. Mzaa ndio nini?Kama tutafanya mzaaa hii timu ya Libya itatufedhehesha mbele za wake zetu kwa mkapa
Acha uongo wewe.simba jana wamecheza mpira mzuri na wamekaza,wale waarabu usiwachukulie kitoto.unamjua mabululu wewe?acheni lawamaUkweli simba bado sana kimataifa yaani kama uliangalia mpira wa yanga juzi ilicheza chini ya kiwangooo ila jana simba alikuwa anaweweseka wachezaji sijui wanasajiliwa kwa vihezo gani..!
Mchambuzi mmoja amenifurahisha sanasana amegusa karibia na ukweli
Kama tutafanya mzaaa hii timu ya Libya itatufedhehesha mbele za wake zetu kwa mkapa
Haya wanasimba mnaoenda na wake zenu taifa mjipange na aibu
Simba kwa sasa ni timu mbovu balaa!Mchambuzi mmoja amenifurahisha sanasana amegusa karibia na ukweli
Kama tutafanya mzaaa hii timu ya Libya itatufedhehesha mbele za wake zetu kwa mkapa
Haya wanasimba mnaoenda na wake zenu taifa mjipange na aibu
Waarabu vibonde wale walifungwa na Biashara ya Mara. ile mechi wangua Yanga wangeshinda nyingi.Acha uongo wewe.simba jana wamecheza mpira mzuri na wamekaza,wale waarabu usiwachukulie kitoto.unamjua mabululu wewe?acheni lawama
Kwa kuwa walifungwa na biashara ndo vibonde?walifungwa mwaka gani?Waarabu vibonde wale walifungwa na Biashara ya Mara. ile mechi wangua Yanga wangeshinda nyingi.
Hii mechi biashara alifunga akiwa nyumbani au ugenini? Na je una uhakika kikosi cha mwaka huo ndicho cha mwaka huu?SIMBA WANGEMALIZANA KAMA BIASHARA WACHUKUE CHAO MAISHA YAENDELEE
CBE na Ndanda fc hazina tofauti.PANYAROAD MLISOMA HII YA ALI KAMWE NAONA YAMEWAKUTA
Pdidy amekugongea 'like'. Subiri na wengine wa dizaini yakeSimba kwa sasa ni timu mbovu balaa!
Mchezaji kama Balua hakuna kitu pale!
Wale kina Ateba Bure kabisa!
Jana Simba imeponea chupu chupu!
Waarabu waliwapigia mpira mkubwa sana!
Uwezekano wa Simba kupigwa Benjamini Mkapa ni mkubwa mno.
Linganisha uzani wa hizo timu mbili kwanzaUkweli simba bado sana kimataifa yaani kama uliangalia mpira wa yanga juzi ilicheza chini ya kiwangooo ila jana simba alikuwa anaweweseka wachezaji sijui wanasajiliwa kwa vihezo gani..!v
Simba hii inayoonekana mbovu kimataifa ndio hiyohiyo inafika robo huko kimataifaUkweli simba bado sana kimataifa yaani kama uliangalia mpira wa yanga juzi ilicheza chini ya kiwangooo ila jana simba alikuwa anaweweseka wachezaji sijui wanasajiliwa kwa vihezo gani..!