Tusifanye mchezo, Al Ahly Tripoli inaweza kututoa mbele ya wake zetu kwa Mkapa

Tusifanye mchezo, Al Ahly Tripoli inaweza kututoa mbele ya wake zetu kwa Mkapa

Hii mechi biashara alifunga akiwa nyumbani au ugenini? Na je una uhakika kikosi cha mwaka huo ndicho cha mwaka huu?

Tusubiri simba acheze hovyo nyumbani ndipo tumuhukumu.

Timu iliyocheza ugenini mbele ya Mashabiki karibia elfu 60 wa mwenyeji huwezi linganisha na kitimu cha cbe chenye Mashabiki mia moja
Kwaiyo unataka kusema Simba ndio mara ya kwanza kucheza mbele ya mashabiki wengi? Usitake tuyaamini maneno ya rage aisee, na unaposema yanga kacheza na cbe ambayo aikuwa na mashabiki bado inaonekana auna point ya msingi kwani kwenye mechi zote ambazo yanga alicheza shirikisho ambalo mliliita looser cup na kufika fainali alikuwa anacheza kwenye viwanja ambavyo avina mashabiki? Na je alishinda mechi ngapi ugenini na wewe umeshinda ngapi? Na endapo msimu huu utashinda ata mechi Moja ugenini nishtue nikununulie soda🤣
 
YAAN UWANJANWA KMC WAARABU WANATUPIGA 5
NIKOPALE
Hii mechi inachezwa KMC....? Kama ni hivyo watakuwa wanazingua,mbona kuna timu za nje zimeitumia huu uwanja juzi juzi tu hapo.
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Mikia SC.
8. Mazumbukuku SC.
9. Manyaunyau (mapaka) SC.
10. Manyang'au SC.
11. Miso Misondo SC.
12. Mwakarobo SC.
13. Mazombi SC.
14. Kolokhamsa SC.
15. Kolowizards SC.
16. Kinyume nyume SC.
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Bahasha SC.
20. Ngada SC.
21. Miso Misonda SC.
22. Kufa Kiume SC.
JamiiForums1683832807.jpeg
 
Back
Top Bottom