Tusifanye usambazaji wa konekshen za watu kuwa jambo la kawaida, tunaharibu maisha ya watu

Watanzania wengi wanaishi maisha ya kuwindana, kupigana, kutapeliana, kutojaliana.

Hizo nasaha zinaweza kumfikirisha mtu anayejali, mtu asiyejaki atataka kufanya connwction kuwa ni kama haki yake ya kikatiba.
 
Wao ndio wa kulaumiwa kwa nini wajirekodi au waruhusu kurekodiwa wakiwa uchi? ukishajirekodi kinachofuata ni kupata watazamaji, acha watu waendelee kutazama vipilipili wameyataka wenyewe
 
Huyu mchezo wa kuchukua video nikiwa napeleka moto nilishafanya sana ujanani

Kubwa zaidi ni kucheki ufanisi wangu pale nikiwa nimetulia. Nilipata A nyingi tu, B+, B and C. Uzuri nilipata D siku moja tu kitu ilikuwa iliingia inatoka na sauti flani hivi zinasikika msituni
 
Ishu ni umaskini/ukosefu wa pesa ,dada wa taifa anatoa hadi 2M kwa connection kali
 
Mtaala mpya si umeiona ya elimu?, umeiona combination ya HISTORY, GEOGRAPHY AND CULTURE? HCG? au Age, culture and BIOLOGY (ABC). Foreign culture, History and Geography (FocHG).NI kwasababu hata watunga Sera hawewez kubuni nje ya kuchukua elim ya kukop kutoka ughaibun.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…