Mr Beast
JF-Expert Member
- Nov 8, 2023
- 311
- 435
Acha matusi, Why usiandike tu comment zako kawaidaSio mmoja ni wengi!
Nimekutonya kuwa, kama dereva mwenyewe anasaga na kusagwa huku nyie abiria mnatazama si itafika time abiria nao watawashwa na kuhamasika na kisha kuanza kusagana?
Ndivyo ilivyo sasa. La hatutaki tabia hii, tumwondoe Jezebel kwenye kiti cha enzi cha nchi na taifa letu zuri ambalo Mungu amatupa na kutuweka ili uchafu na tabia yake isiendelee kuchafua jamii na nchi yetu!!