Tusiihushishe CCM na tuhuma za watu binafsi chombo cha kutoa haki ni mahakama RC Nawanda akajitetee Mahakamani

Acha matusi, Why usiandike tu comment zako kawaida
 
Acha matusi, Why usiandike tu comment zako kawaida
Mjinga wewe Mr Beast!

Unafikiri kuna neno mbadala la "msagaji" au "shoga?" kwa mtu yeyote mwenye tabia hiyo?

Hebu fundisha baraza basi, labda tutakuelewa. Vinginevyo, wewe ni mjinga, nyamaza. Ama soma comment then nenda zako kule uendako!

La sivyo, waambie wafanyao matendo hayo waache wenyewe kujitusi na kujitukana na wengine hawataweza kuyasema matendo yao
 
Unaushahidi au ndiokifungwa mnaanza kuomba michango
 
Hao kina Prof. Yahaya ndo CCM yenyewe.. The image of CCM drowned by their actions

Lazima tuikemee CCM,, lazima tunyooshe vidole CCM
 
Basi tukubaliane tu kuwa Chadema inahusika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…