Tusijidanganye Simba hii ni ya kawaida sana, uongozi unaendeshwa kiujanja ujanja, MO tuachie timu yetu

Mimi sina uwezo huo, huyo mwenye uwezo wa hyo 20 b ameweka? Kwahyo nami nikahaidi 500b kiutapeli? Utapeli siwezi.
Tujifanye hajaweka, club inaendeshwa kwa hela ipi? au unahisi wanasimba ni wapumbavu

Mo hajaweka 20B, wachezaji wanasajiliwa kwa hela gani?

Mo hajaweka 20B, hicho unacholingia simba kuwa miongon mwa vilabu bora afrika, brand hiyo ya klab ilitokana na hela gan?

Na ulivyo cite mchezaji mbon umemcite kibu pekee yake, sawa nikubali ni wa laki5, akina chama, sakho, kanoute, phiri, outara, okra wanalipwa sh ngap na inatoka wapi?

Maswali ya kukuuliza niengi kiufupi ni kwamba, wewe hujachangia hata laki kwenye klab, kama hujaweka hela yako kaz yako ni moja tu, kushabikia timu ikishinda na hata tukifungwa shabikia mambo ya pesa waachie wenye nazo we kazi yako kufurahia matinda yaliyopatikana na yanayoendelea kupatikana, kumbuka hata hiyo hela akiiweka we utafaidika kitu kimoja tu, kufurah timu ikishinda ambapo hata saiv unashangilia kusibiria draw ya makund CAFCL
 
Hapo ulipo huna uwezo wa kuwalisha wachezaji hata chai tu ya siku moja ila mdomo juu balaa. Masikini ana kelele mno mi nadhani njia ya kutatua matatizo siyo kunyosheana vidole.
 
Hahahaha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hahahaha hahaaaaaaaaaaaa...
 
Leo sasa ndio watakuelewa kumbe uliwaambia tangu mwaka 2022
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…