Tusikubali kuwa nchi ya wapuuzi!

Tusikubali kuwa nchi ya wapuuzi!

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Tanzania ikisaidiwa na kizazi kipya imekuwa nchi kama vile ya wapuuzi yaani tuna puuza mambo muhimu

1. Wanajeshi wameuliwa huko Congo kama nchi tuna puuza puuza tu hakuna majonzi ya kitaifa
2. Majengo yame dondoka kariakoo mpaka sasa tume puuza tu hakuna mwamko wa kujali na wasiwasi
3. Uchaguzi umeibiwa waziwazi wananchi wanapuuza tu kama vile wamezoea
4. Mikataba ya kitaifa ya kisirisiri tuna puuza tu kama ni mambo ya wapinzani

Kwa wale ambao wanajali tunawapongeza. Kwa wapigania haki tunawapongeza. Tumuombe Mungu atukomeshee chawa kwenye nchi yetu na watu wawe wazalendo na kupenda rasilimali zao ambazo zinatafunwa na wachache
 
Tanzania ikisaidiwa na kizazi kipya imekuwa imekuwa nchi kama vile ya wapuuzi yaani tuna puuza mambo muhimu

1. Wanajeshi wameuliwa huko Congo kama nchi tuna puuza puuza tu hakuna majonzi ya kitaifa
2. Majengo yame dondoka kariakoo mpaka sasa tume puuza tu hakuna mwamko wa kujali na wasiwasi
3. Uchaguzi umeibiwa waziwazi wananchi wanapuuza tu kama vile wamezoea
4. Mikataba ya kitaifa ya kisirisiri tuna puuza tu kama ni mambo ya wapinzani

Kwa wale ambao wanajali tunawapongeza. Kwa wapigania haki tunawapongeza. Tumuombe Mungu atukomeshee chawa kwenye nchi yetu na watu wawe wazalendo na kupenda rasilimali zao ambazo zinatafunwa na wachache
Tafuta uzi humu nimeandika kwa kirefu namna CCM walivyoifanya nchi yetu kama Mobutu alivyoifanya Congo.

Na bado. Yajayo yanafurahisha! Hii nchi inaenda kuwa under total control ya maadui wa nje siku si nyingi.
 
Tanzania ikisaidiwa na kizazi kipya imekuwa imekuwa nchi kama vile ya wapuuzi yaani tuna puuza mambo muhimu

1. Wanajeshi wameuliwa huko Congo kama nchi tuna puuza puuza tu hakuna majonzi ya kitaifa
2. Majengo yame dondoka kariakoo mpaka sasa tume puuza tu hakuna mwamko wa kujali na wasiwasi
3. Uchaguzi umeibiwa waziwazi wananchi wanapuuza tu kama vile wamezoea
4. Mikataba ya kitaifa ya kisirisiri tuna puuza tu kama ni mambo ya wapinzani

Kwa wale ambao wanajali tunawapongeza. Kwa wapigania haki tunawapongeza. Tumuombe Mungu atukomeshee chawa kwenye nchi yetu na watu wawe wazalendo na kupenda rasilimali zao ambazo zinatafunwa na wachache
Mwenge Si mchezo
 
Tanzania ikisaidiwa na kizazi kipya imekuwa imekuwa nchi kama vile ya wapuuzi yaani tuna puuza mambo muhimu

1. Wanajeshi wameuliwa huko Congo kama nchi tuna puuza puuza tu hakuna majonzi ya kitaifa
2. Majengo yame dondoka kariakoo mpaka sasa tume puuza tu hakuna mwamko wa kujali na wasiwasi
3. Uchaguzi umeibiwa waziwazi wananchi wanapuuza tu kama vile wamezoea
4. Mikataba ya kitaifa ya kisirisiri tuna puuza tu kama ni mambo ya wapinzani

Kwa wale ambao wanajali tunawapongeza. Kwa wapigania haki tunawapongeza. Tumuombe Mungu atukomeshee chawa kwenye nchi yetu na watu wawe wazalendo na kupenda rasilimali zao ambazo zinatafunwa na wachache
Sa100 mi5 tena
 
labda hao wanajeshi wangeanza kwanza kujifunza nidhamu, kama hauna nidhamu hakuna jinsi unaweza kushinda vita watarudi kwenye viroba kila siku, tanzagiza ndiyo nchi pekee ambayo mwanajeshi akitoka mafunzoni kitu cha kwanza anaanza kupiga raia aliofundishwa na kuapa kuwalinda kuonyesha ubabe, sasa huo ubabe wao wanaotunishia raia kila siku si wautumie huko vitani ?

nashauri kuwe na iq testing kabla ya kuajiriwa jeshini tuanzie hapo, wafundishwe sheria pia wajue kazi na majukumu yao ni yepi ?
 
Tanzania ikisaidiwa na kizazi kipya imekuwa imekuwa nchi kama vile ya wapuuzi yaani tuna puuza mambo muhimu

1. Wanajeshi wameuliwa huko Congo kama nchi tuna puuza puuza tu hakuna majonzi ya kitaifa
2. Majengo yame dondoka kariakoo mpaka sasa tume puuza tu hakuna mwamko wa kujali na wasiwasi
3. Uchaguzi umeibiwa waziwazi wananchi wanapuuza tu kama vile wamezoea
4. Mikataba ya kitaifa ya kisirisiri tuna puuza tu kama ni mambo ya wapinzani

Kwa wale ambao wanajali tunawapongeza. Kwa wapigania haki tunawapongeza. Tumuombe Mungu atukomeshee chawa kwenye nchi yetu na watu wawe wazalendo na kupenda rasilimali zao ambazo zinatafunwa na wachache
Kabisa tuachane kwanza na ccm.
 
Tanzania ikisaidiwa na kizazi kipya imekuwa imekuwa nchi kama vile ya wapuuzi yaani tuna puuza mambo muhimu

1. Wanajeshi wameuliwa huko Congo kama nchi tuna puuza puuza tu hakuna majonzi ya kitaifa
2. Majengo yame dondoka kariakoo mpaka sasa tume puuza tu hakuna mwamko wa kujali na wasiwasi
3. Uchaguzi umeibiwa waziwazi wananchi wanapuuza tu kama vile wamezoea
4. Mikataba ya kitaifa ya kisirisiri tuna puuza tu kama ni mambo ya wapinzani

Kwa wale ambao wanajali tunawapongeza. Kwa wapigania haki tunawapongeza. Tumuombe Mungu atukomeshee chawa kwenye nchi yetu na watu wawe wazalendo na kupenda rasilimali zao ambazo zinatafunwa na wachache
Hakika
 
Wewe umechukua hatua gani Kiongozi?
Kuna maandiko mengi toka 2006 niwe mwana JF huku nimeeleza nilayofanya na niliyofanya.

Haya mambo mengi hapa sio mambo ya kitaalamu sana ni tamaduni amazo inabidi kila mtu kwa njia zake aendeleze utamaduni na wivu wa maendeleo wa nchi. Kuhusu Haki, Uzalendo na michango kwa jamii maandiko yangu kwa miaka zaidi ya 15 yanajionyesha
 
Safari bado ni ndefu sana kwani watanzania tunaongea zaidi kuliko kutenda.Ccm inachaguliwa na kushinda uchaguzi kihalali kwenye maeneo mengi. Ukweli ni kwamba hadi sasa hakuna mtanzania mwenye fikra za kumweka mpinzani kwenye nafasi ya URAIS.Vyama vya upinzani hawajielewi na wala hawana dhamira ya dhati ya kuchukua dola kila siku wanarudia makosa yale yale. CCM itaendeleà kubaki madarakani kwa kitambo bado. Hivi WASIRA akifa akiwa katika nafasi hiyo aliyopo atapigiwa mizinga? je jeneza lake litabebwa na uvccm, wazazi au uwt? Jeneza lake litafunikwa bendera ya chama au serikali? Watachinjwa kama wale wa kwa Lowasa? Na baada ya hapo tutaenda tena Dodoma kuchagua mwingine au atateuliwa tu?
 
Safari bado ni ndefu sana kwani watanzania tunaongea zaidi kuliko kutenda.Ccm inachaguliwa na kushinda uchaguzi kihalali kwenye maeneo mengi. Ukweli ni kwamba hadi sasa hakuna mtanzania mwenye fikra za kumweka mpinzani kwenye nafasi ya URAIS.Vyama vya upinzani hawajielewi na wala hawana dhamira ya dhati ya kuchukua dola kila siku wanarudia makosa yale yale. CCM itaendeleà kubaki madarakani kwa kitambo bado.
naunga mkono hoja!。
Hivi WASIRA akifa akiwa katika nafasi hiyo aliyopo
Wasira is a project,yupo na usimuwazie hayo!Zijue Sababu za Kwanini ni Wasira?, He is The Right Man at The Right Time & The Right Place. It Is A Project!, Ikikamilika, Atang'atuka, Kama Kinana!
P
 
Tanzania ikisaidiwa na kizazi kipya imekuwa nchi kama vile ya wapuuzi yaani tuna puuza mambo muhimu

1. Wanajeshi wameuliwa huko Congo kama nchi tuna puuza puuza tu hakuna majonzi ya kitaifa
2. Majengo yame dondoka kariakoo mpaka sasa tume puuza tu hakuna mwamko wa kujali na wasiwasi
3. Uchaguzi umeibiwa waziwazi wananchi wanapuuza tu kama vile wamezoea
4. Mikataba ya kitaifa ya kisirisiri tuna puuza tu kama ni mambo ya wapinzani

Kwa wale ambao wanajali tunawapongeza. Kwa wapigania haki tunawapongeza. Tumuombe Mungu atukomeshee chawa kwenye nchi yetu na watu wawe wazalendo na kupenda rasilimali zao ambazo zinatafunwa na wachache
Bahati mbaya sana hata wewe mtoa post unapuuzapuuza tu haya mambo na unaishia kulalamika mitandaoni tu! PUMBAVU!
 
Back
Top Bottom