Tusikubali kuwa nchi ya wapuuzi!

Tusikubali kuwa nchi ya wapuuzi!

Tanzania ikisaidiwa na kizazi kipya imekuwa nchi kama vile ya wapuuzi yaani tuna puuza mambo muhimu

1. Wanajeshi wameuliwa huko Congo kama nchi tuna puuza puuza tu hakuna majonzi ya kitaifa
2. Majengo yame dondoka kariakoo mpaka sasa tume puuza tu hakuna mwamko wa kujali na wasiwasi
3. Uchaguzi umeibiwa waziwazi wananchi wanapuuza tu kama vile wamezoea
4. Mikataba ya kitaifa ya kisirisiri tuna puuza tu kama ni mambo ya wapinzani

Kwa wale ambao wanajali tunawapongeza. Kwa wapigania haki tunawapongeza. Tumuombe Mungu atukomeshee chawa kwenye nchi yetu na watu wawe wazalendo na kupenda rasilimali zao ambazo zinatafunwa na wachache
Tanzania hata kichaa anaweza kuiongoza, tuna KAZI ya kusifia upumbavu Tu Usiku na Mchana
 
Tafuta uzi humu nimeandika kwa kirefu namna CCM walivyoifanya nchi yetu kama Mobutu alivyoifanya Congo.

Na bado. Yajayo yanafurahisha! Hii nchi inaenda kuwa under total control ya maadui wa nje siku si nyingi.
Kweli kabis, inasikitisha! Walio ikomboa nchii hii toka kwa Mabeberu, wangerudi leo wala hawawezi itambua Tanganyika yao. Nchi watu wamekuwa waoga sana. Baba wa Taifa aliwai sema hivi, uwoga uzaa unafiki, unafiki uzaa Uchawa alafu mwisho ni umauti.
 
Back
Top Bottom