Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Wakati Wana CCM wakielekeza akili zao na nguvu zao kushinda chaguzi "kwa kishindo" huku chini Hali sio nzuri kabisa.
Na huku Wakandarasi wakimnunulia Rais ndege kwa ajili ya shughuli zake za kisiasa( naweza kurekebishwa hapa)
Miradi ya ujenzi wa inasimama, SABABU Wakandarasi hawa hawajalipwa na Serikali ya CCM! Hali hii inaleta hasara kubwa sana Kwa Taifa maana riba yake huwa kubwa sana watakapokuja kulipa, kuna miradi ambayo imepewa advance payment Tu na Hadi sasa IPC nyingine hazijalipwa.
Tafadhali Sana ule mradi WA Maji na Ile ya barabara ambayo wameshaondoa wafanyakazi (local) tusikubali iishie hapo.
Kama haikua na fedha basi hakukua na sababu ya kuianzisha, riba inakua KUBWA Sana Sana sometimes Hadi 20% ya gharama ya mradi hulipwq kama riba.
Sina ubaya, KARIBU Sumbawanga. Mama anaupiga mwingi
Na huku Wakandarasi wakimnunulia Rais ndege kwa ajili ya shughuli zake za kisiasa( naweza kurekebishwa hapa)
Miradi ya ujenzi wa inasimama, SABABU Wakandarasi hawa hawajalipwa na Serikali ya CCM! Hali hii inaleta hasara kubwa sana Kwa Taifa maana riba yake huwa kubwa sana watakapokuja kulipa, kuna miradi ambayo imepewa advance payment Tu na Hadi sasa IPC nyingine hazijalipwa.
Tafadhali Sana ule mradi WA Maji na Ile ya barabara ambayo wameshaondoa wafanyakazi (local) tusikubali iishie hapo.
Kama haikua na fedha basi hakukua na sababu ya kuianzisha, riba inakua KUBWA Sana Sana sometimes Hadi 20% ya gharama ya mradi hulipwq kama riba.
Sina ubaya, KARIBU Sumbawanga. Mama anaupiga mwingi