Tusikubali tabia ya kumponda Hayati Magufuli ili kujipendekeza/kupitisha ombi kwa Rais Samia

Tusikubali tabia ya kumponda Hayati Magufuli ili kujipendekeza/kupitisha ombi kwa Rais Samia

Ikitotanzila

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2020
Posts
1,409
Reaction score
2,263
Sasa hivi kila anayeta kujipendekeza au kupitisha ombi kwa Rais Samia lazima aanze na kumponda Hayati Magufuli kwanza halafu ndio anaamini hoja yake itapita kirahisi. Nimekuwa niki-observe Sana hili.

Kila anayetaka kujenga msingi wa hoja fulani lazima aanze na madongo kwa Hayati Magufuli halafu mama anafurahia.

Siyo vizuri kabisa.
 
Utangulizi wako kwenye kufanya jambo lolote ndio unakufanya upate au ujibiwe ombi lako

Kuwa makini sana kwenye kila utangulizi unaofanya

Nakushauri uwe makini
 
Kuna hatari sana wanaitafuta hawa watu.

Wanataka kusema wafiwa hawataki faraja?
 
Sasa hivi kila anayeta kujipendekeza au kupitisha ombi kwa Rais Samia lazima aanze na kumponda Hayati Magufuli kwanza halafu ndio anaamini hoja yake itapita kirahisi. Nimekuwa niki-observe Sana hili.

Kila anayetaka kujenga msingi wa hoja fulani lazima aanze na madongo kwa Hayati Magufuli halafu mama anafurahia.

Siyo vizuri kabisa.
Huyu ni mpenda sifa vibaya sn
 
Sasa hivi kila anayeta kujipendekeza au kupitisha ombi kwa Rais Samia lazima aanze na kumponda Hayati Magufuli kwanza halafu ndio anaamini hoja yake itapita kirahisi. Nimekuwa niki-observe Sana hili.

Kila anayetaka kujenga msingi wa hoja fulani lazima aanze na madongo kwa Hayati Magufuli halafu mama anafurahia.

Siyo vizuri kabisa.
-Namba moja,hampendi kuusikia ukweli.
-Namba mbili,mnataka tufanane maoni,mawazo,vision na hata mavazi
-Namba tatu,mnaogopa yajayo(the future is itching).
 
Sasa hivi kila anayeta kujipendekeza au kupitisha ombi kwa Rais Samia lazima aanze na kumponda Hayati Magufuli kwanza halafu ndio anaamini hoja yake itapita kirahisi. Nimekuwa niki-observe Sana hili.

Kila anayetaka kujenga msingi wa hoja fulani lazima aanze na madongo kwa Hayati Magufuli halafu mama anafurahia.

Siyo vizuri kabisa.
Magufuli alikuwa mwehu katili na muuaji, lazima apondwe japo kaishapondeka
 
Ila sijui katika chaguzi za 2024 na 2025 watawaambia nibi vipenzi wa JPM ili waweze kueleweka. Makundi ya wamachinga na wachuuzi waliohamishwa katika maeneo ambayo yeye binafsi aliwaruhusu kufanya biashara zao, familia za waathirika wa masoko yanayoungua mara kwa mara, wana CCM ambao walimkubali na kukubaliana naye kwa dhati kuhusu miundombinu yake mingi ya kimkakati, kanda pendwa ambayo sasa wanaikebehi kama Sukuma Gang, acha makundi mengine yenye chuki na Mzee wa Msoga, na kundi jipya lililoibuka la wenye kuchukizwa na serikali kukopa kopa hovyo na mgawanyo wa mkopo ukiwapendelea wale wa pande za Mchambawima.
 
Sasa hivi kila anayeta kujipendekeza au kupitisha ombi kwa Rais Samia lazima aanze na kumponda Hayati Magufuli kwanza halafu ndio anaamini hoja yake itapita kirahisi. Nimekuwa niki-observe Sana hili.

Kila anayetaka kujenga msingi wa hoja fulani lazima aanze na madongo kwa Hayati Magufuli halafu mama anafurahia.

Siyo vizuri kabisa.
Binadam sisi ni wanafiki saanaaa, acha tu twende hivyo
 
Sasa hivi kila anayeta kujipendekeza au kupitisha ombi kwa Rais Samia lazima aanze na kumponda Hayati Magufuli kwanza halafu ndio anaamini hoja yake itapita kirahisi. Nimekuwa niki-observe Sana hili.

Kila anayetaka kujenga msingi wa hoja fulani lazima aanze na madongo kwa Hayati Magufuli halafu mama anafurahia.

Siyo vizuri kabisa.
Hawafanyi kwa kusudi bali wanafanya kama mfano mbaya wa kumuiga yule bwana.👇

Screenshot_20220221-213330.png
 
Sasa hivi kila anayeta kujipendekeza au kupitisha ombi kwa Rais Samia lazima aanze na kumponda Hayati Magufuli kwanza halafu ndio anaamini hoja yake itapita kirahisi. Nimekuwa niki-observe Sana hili.

Kila anayetaka kujenga msingi wa hoja fulani lazima aanze na madongo kwa Hayati Magufuli halafu mama anafurahia.

Siyo vizuri kabisa.
Mimi naona ni sawa kabisa, Jiwe alikuwa mtu mbaya sana na muuaji. Pia yeye mwenyewe alikuwa anawaponda watangulizi wake kuwa hawajafanya kitu. Usijitoe akili kumbuka yeye ndiye mwasisi wa hilo jambo.
 
Ila sijui katika chaguzi za 2024 na 2025 watawaambia nibi vipenzi wa JPM ili waweze kueleweka. Makundi ya wamachinga na wachuuzi waliohamishwa katika maeneo ambayo yeye binafsi aliwaruhusu kufanya biashara zao, familia za waathirika wa masoko yanayoungua mara kwa mara, wana CCM ambao walimkubali na kukubaliana naye kwa dhati kuhusu miundombinu yake mingi ya kimkakati, kanda pendwa ambayo sasa wanaikebehi kama Sukuma Gang, acha makundi mengine yenye chuki na Mzee wa Msoga, na kundi jipya lililoibuka la wenye kuchukizwa na serikali kukopa kopa hovyo na mgawanyo wa mkopo ukiwapendelea wale wa pande za Mchambawima.
Ccm hawategemei kura yak wewe mnyonge/mmachinga. Unakumbuka kauli ya hata msipopiga kura CCM lakini CCM ndiyo itaunda serikali ilitolewa na nani? Jiwe alishaonyesha njia ya kushinda uchaguzi bila kura za wananchi,refer uchaguzi uliopita. Pole sana Sukuma gang kwani mtapata tabu sana.
 
Sasa hivi kila anayeta kujipendekeza au kupitisha ombi kwa Rais Samia lazima aanze na kumponda Hayati Magufuli kwanza halafu ndio anaamini hoja yake itapita kirahisi. Nimekuwa niki-observe Sana hili.

Kila anayetaka kujenga msingi wa hoja fulani lazima aanze na madongo kwa Hayati Magufuli halafu mama anafurahia.

Siyo vizuri kabisa.
Kulinda legacy sio kaz rahis mkuu 😂😂😂
 
Back
Top Bottom