Pre GE2025 Tusilalamike kuna mfumo dume katika siasa, Vyeo vya kijinsia naomba vifutwe

Pre GE2025 Tusilalamike kuna mfumo dume katika siasa, Vyeo vya kijinsia naomba vifutwe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mi mi

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2024
Posts
2,748
Reaction score
5,112
Tusiishie kulalamika kuwa ndani ya siasa kumejaa mfumo dude na kuanza kuwapa watu vyeo maalum kwa kutazama jinsia zao mfano viti maalum.

Tujiulize maswali halafu kisha tufute mfumo wa viti maalum tuache wenye uwezo wa siasa wazifanye na wawanie nafasi na washinde na sio jinsia kutumika kama kigezo cha kuwapa wanawake vyeo vya ofa.

Leo tujiulize katika majumbani mwetu katika ya jinsia ya kiume na ya kike jinsia gani inajishughulisha kufuatilia mambo ya msingi taifani na nyingine ikijikita kufuatilia umbea na tamthilia ?

Katika familia zetu tulizokuzwa kati ya Mama na Baba nani siasa alikuwa akiipa sikio zaidi ?

Marafiki zetu je, ni jinsia gani inauelekeo wa siasa kuliko jinsia nyingine ?

Ndugu jamaa na marafiki mkutanapo ni jinsia gani anagalau hata hujishughulisha kwa mara moja kujadili hali ya nchi kisiasa kuliko jinsia nyingine ?

Nachoweza kusema haya maswali madogo angalau yanajenga uelewa mfupi kuwa ni jinsia gani mambo magumu kama siasa hayapo upande wake na jinsia gani hujishughulisha zaidi na mambo hayo.

Kuwapa watu vyeo huku wakiwa hawapo interested na mambo hayo kwa sababu ya kubalance jinsia haileti tija kwa taifa.
 
Tafuta walioanza na hivyo viti awali kabisa nyuma yao walikuwepo kina nani pia njoo CHADEMA katika kumi 19 wale wake na hawala za viongozi wa chama husika ni wangapi pia hata CCM viti maalum nako kichefuchefu ndo maana huoni mchango wao bungeni
 
Tusiishie kulalamika kuwa ndani ya siasa kumejaa mfumo dude na kuanza kuwapa watu vyeo maalum kwa kutazama jinsia zao mfano viti maalum.

Tujiulize maswali halafu kisha tufute mfumo wa viti maalum tuache wenye uwezo wa siasa wazifanye na wawanie nafasi na washinde na sio jinsia kutumika kama kigezo cha kuwapa wanawake vyeo vya ofa.

Leo tujiulize katika majumbani mwetu katika ya jinsia ya kiume na ya kike jinsia gani inajishughulisha kufuatilia mambo ya msingi taifani na nyingine ikijikita kufuatilia umbea na tamthilia ?

Katika familia zetu tulizokuzwa kati ya Mama na Baba nani siasa alikuwa akiipa sikio zaidi ?

Marafiki zetu je, ni jinsia gani inauelekeo wa siasa kuliko jinsia nyingine ?

Ndugu jamaa na marafiki mkutanapo ni jinsia gani anagalau hata hujishughulisha kwa mara moja kujadili hali ya nchi kisiasa kuliko jinsia nyingine ?

Nachoweza kusema haya maswali madogo angalau yanajenga uelewa mfupi kuwa ni jinsia gani mambo magumu kama siasa hayapo upande wake na jinsia gani hujishughulisha zaidi na mambo hayo.

Kuwapa watu vyeo huku wakiwa hawapo interested na mambo hayo kwa sababu ya kubalance jinsia haileti tija kwa taifa.
Unataka kuwatetea Chadema na mfumo dume wao?
 
Tusiishie kulalamika kuwa ndani ya siasa kumejaa mfumo dude na kuanza kuwapa watu vyeo maalum kwa kutazama jinsia zao mfano viti maalum.

Tujiulize maswali halafu kisha tufute mfumo wa viti maalum tuache wenye uwezo wa siasa wazifanye na wawanie nafasi na washinde na sio jinsia kutumika kama kigezo cha kuwapa wanawake vyeo vya ofa.

Leo tujiulize katika majumbani mwetu katika ya jinsia ya kiume na ya kike jinsia gani inajishughulisha kufuatilia mambo ya msingi taifani na nyingine ikijikita kufuatilia umbea na tamthilia ?

Katika familia zetu tulizokuzwa kati ya Mama na Baba nani siasa alikuwa akiipa sikio zaidi ?

Marafiki zetu je, ni jinsia gani inauelekeo wa siasa kuliko jinsia nyingine ?

Ndugu jamaa na marafiki mkutanapo ni jinsia gani anagalau hata hujishughulisha kwa mara moja kujadili hali ya nchi kisiasa kuliko jinsia nyingine ?

Nachoweza kusema haya maswali madogo angalau yanajenga uelewa mfupi kuwa ni jinsia gani mambo magumu kama siasa hayapo upande wake na jinsia gani hujishughulisha zaidi na mambo hayo.

Kuwapa watu vyeo huku wakiwa hawapo interested na mambo hayo kwa sababu ya kubalance jinsia haileti tija kwa taifa.
Kweli yafaa viti maalum udiwani, ubunge VIFUTWE ni kuharibu pesa na pia ni ubaguzi mbaya.
 
Back
Top Bottom