Tusimchomekee Rais, bado tunahitaji kuzuia wanyama wasisafirishwe

Tusimchomekee Rais, bado tunahitaji kuzuia wanyama wasisafirishwe

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Ni muhimu kuendelea kudhibiti kwa ukali(srtrict prohibition) juu ya kusafirisha wanyama nje ya nchi.

Iwapo wanyama tulionao ni kivutio cha kipekee kinachowafanya watalii waje nchini basi hatuna budi kuzuia usafirishaji wa wanyama ili kuendekeza umuhimu wa watalii kuja na kuwaona.

naweza kutolea mfano wa TIGER ambao ni mnyama asiyepatikana Tanzania....anayetaka kumuona inabidi aende India au vietnam huko!

So far hatujawahi kumleta kwenye mbuga zetu ili watalii wafike kumuona.

Mungu alitupa wanyama hawa na mazingira haya kwa makusudi sisi tunapaswa kuyatumia mazingira yetu na wanyama hawa kujiimarisha kiuchumi,kidiplomasia ,kimazingira na kiutawala.

ni ujuha kuneemesha wanaokuja kutaka kujionea maajabu ya dunia eti wawe wanawaona wakiwa huko kwao kisa tutapata lumpsum ya fedha kwa muda mfupi.

Tuwaache huku huku waje kutuletea fedha sustainably.

anayeruhusu kupeleka Twiga nje ni mhujumu na hana nia njema na ustawi wa Taifa.

Royal Tour itaonesha nini iwapo wanyama wanaondoka?

Wasalaamu!!

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
 
Ni muhimu kuendelea kudhibiti kwa ukali(srtrict prohibition) juu ya kusafirisha wanyama nje ya nchi.
Iwapo wanyama tulionao ni kivutio cha kipekee kinachowafanya watalii waje nchini basi hatuna budi kuzuia usafirishaji wa wanyama ili kuendekeza umuhimu wa watalii kuja na kuwaona.
naweza kutolea mfano wa TIGER ambao ni mnyama asiyepatikana Tanzania....anayetaka kumuona inabidi aende India au vietnam huko!
So far hatujawahi kumleta kwenye mbuga zetu ili watalii wafike kumuona.
Mungu alitupa wanyama hawa na mazingira haya kwa makusudi...sisi tunapaswa kuyatumia mazingira yetu na wanyama hawa kujiimarisha kiuchumi,kidiplomasia ,kimazingira na kiutawala.
ni ujuha kuneemesha wanaokuja kutaka kujionea maajabu ya dunia eti wawe wanawaona wakiwa huko kwao kisa tutapata lumpsum ya fedha kwa muda mfupi.
Tuwaache huku huku waje kutuletea fedha sustainably.
anayeruhusu kupeleka Twiga nje ni mhujumu na hana nia njema na ustawi wa Taifa.
Royal Tour itaonesha nini iwapo wanyama wanaondoka??
Wasalaamu!!

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Aione zitto kabwe
Screenshot_20220606-052251.jpg
 
Sasa hapo wenye akili timamu ndio wajiulize mdini nani? kati ya yule aliyesifia ujinga kisa umefanywa na kiongozi wa dini yake, au wale waliopinga wanyama kuuzwa mpaka katazo limetolewa.

Zitto ni mwanasiasa wa hovyo sana. Anaumbuka kwa unafiki wakd uliopitiliza.
 
Sasa hapo wenye akili timamu ndio wajiulize mdini nani? kati ya yule aliyesifia ujinga kisa umefanywa na kiongozi wa dini yake, au wale waliopinga wanyama kuuzwa mpaka katazo limetolewa.

Zitto ni mwanasiasa wa hovyo sana. Anaumbuka kwa unafiki wakd uliopitiliza.
People can notice the difference
 
Basi hata wapiga picha na video za filamu za wanyama huko mbugani muwakataze. Maana watalii wanaweza kutazama filamu wasije kufanya utalii. Kuweni wakweli, kelele mnapiga kwa sababu Rais

1) Ni Mzanzibari
2) Ni Muislam
3) Ni Jinsia Yake
 
Malipo ya bendera ya Taifa kuwa kwenye jengo la Burj Al Khalifa ndio haya.

Tukadanganya eti ni bure.
 
Ni muhimu kuendelea kudhibiti kwa ukali(srtrict prohibition) juu ya kusafirisha wanyama nje ya nchi.
Iwapo wanyama tulionao ni kivutio cha kipekee kinachowafanya watalii waje nchini basi hatuna budi kuzuia usafirishaji wa wanyama ili kuendekeza umuhimu wa watalii kuja na kuwaona.
naweza kutolea mfano wa TIGER ambao ni mnyama asiyepatikana Tanzania....anayetaka kumuona inabidi aende India au vietnam huko!
So far hatujawahi kumleta kwenye mbuga zetu ili watalii wafike kumuona.
Mungu alitupa wanyama hawa na mazingira haya kwa makusudi...sisi tunapaswa kuyatumia mazingira yetu na wanyama hawa kujiimarisha kiuchumi,kidiplomasia ,kimazingira na kiutawala.
ni ujuha kuneemesha wanaokuja kutaka kujionea maajabu ya dunia eti wawe wanawaona wakiwa huko kwao kisa tutapata lumpsum ya fedha kwa muda mfupi.
Tuwaache huku huku waje kutuletea fedha sustainably.
anayeruhusu kupeleka Twiga nje ni mhujumu na hana nia njema na ustawi wa Taifa.
Royal Tour itaonesha nini iwapo wanyama wanaondoka??
Wasalaamu!!

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Sisi tulipewa kila kitu na MUNGU isipokuwa akili ya kutunza hizo mali
 
Back
Top Bottom