Uchaguzi 2020 Tusimuache Lissu atuahidi yasiyowezekana

Yale matrilioni mliyochezea kununua ndege za uonesho zilizopaki na kufunikwa maturubali zinatosha kulipia watz wote bima
 
Leo akiwa Musoma kiongozi wako magufuli nae kaja na hoja kama ya Lissu ya bima ya afya kwa wote, haya unasemaje inawezekana au nae anayuahidi yasiyowezekana?

Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
 
Lisu ajenge kwanza Ofisi za Chama kwa kipindi hiki kifupi ndio tutafikiria kumpa kura otherwise Chadema ni Chama kisichokuwa na uwezo wa kujisimamia chenyewe hivyo hakifai kupewa uongozi wa Taifa letu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…