Tusinunue bidhaa za machinga kwenye maeneo yasiyoruhusiwa

Tusinunue bidhaa za machinga kwenye maeneo yasiyoruhusiwa

Anna Nkya

Member
Joined
Oct 21, 2021
Posts
69
Reaction score
341
Tuachane na wale wanaotaka jambo la kuwapnag machinga liende vibaya kwa maelngo yao ya kisiasa. Ni lazima miji yetu ipangike, kila mtu afanye biashara kwa ustaarabu.

Tuisaidie serikali ya Rais Samia kufanikisha jambo hili kwa kuacha kununua bidhaa za machinga wanaokaa kwenye maeneo ambayo hawaruhusiwi. Sisi wanununuzi tunaweza kuwa msaada mkubwa sana katiuka hili.

Tununue bidhaa za wale ambao wanakaa katika utaratibu.
 
Tuachane na wale wanaotaka jambo la kuwapnag machinga liende vibaya kwa maelngo yao ya kisiasa. Ni lazima miji yetu ipangike, kila mtu afanye biashara kwa ustaarabu.

Tuisaidie serikali ya Rais Samia kufanikisha jambo hili kwa kuacha kununua bidhaa za machinga wanaokaa kwenye maeneo ambayo hawaruhusiwi. Sisi wanununuzi tunaweza kuwa msaada mkubwa sana katiuka hili.

Tununue bidhaa za wale ambao wanakaa katika utaratibu.

Ujambo? umefikia wap?
 
Back
Top Bottom