NGOSWE2
JF-Expert Member
- Dec 19, 2013
- 1,323
- 1,608
Kazi kwelikweli!Kabisa.
Naona kuna baadhi ya watu bado hawajaelewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi kwelikweli!Kabisa.
Naona kuna baadhi ya watu bado hawajaelewa
Mbona kama sijaelewaJAMIIFORUMS HAKUNA UHURU WA KUTOA HABARI.
Moderators wanafanya kazi yao bila ya Ueledi na misingi ya ofisi yao.
Wanafuta nyuzi hovyo na ukilalamika kwa kuandika uzi wanaufuta pia.
JAMIIFORUMS HAKUNA UHURU WA KUTOA HABARI.
Nimeandika uzi kuhusu kutofautiana kati ya Lema na Ntobi lakini Moderators wakafuta uzi.
Niliandika uzi kuhusu mmong'onyoko wa maadili kwa baadhi ya viongozi kuvuja video zao za faragha UZI UKAFUTWA.
JAMIIFORUMS HAKUNA UHURU WA KUTOA HABARI.
Yani hapa JamiiForums ukimuongelea mdau wao ni lazima uzi ufutwe.
INASIKITISHA SANA.
Mada zenyewe kama ndio hizo hata mimi ningefuta tu.JAMIIFORUMS HAKUNA UHURU WA KUTOA HABARI.
Moderators wanafanya kazi yao bila ya Ueledi na misingi ya ofisi yao.
Wanafuta nyuzi hovyo na ukilalamika kwa kuandika uzi wanaufuta pia.
JAMIIFORUMS HAKUNA UHURU WA KUTOA HABARI.
Nimeandika uzi kuhusu kutofautiana kati ya Lema na Ntobi lakini Moderators wakafuta uzi.
Niliandika uzi kuhusu mmong'onyoko wa maadili kwa baadhi ya viongozi kuvuja video zao za faragha UZI UKAFUTWA.
JAMIIFORUMS HAKUNA UHURU WA KUTOA HABARI.
Yani hapa JamiiForums ukimuongelea mdau wao ni lazima uzi ufutwe.
INASIKITISHA SANA.
NO SINGLE SIZE FITS ALLNingependa kuwashauri wanaume wenzangu kuwa mnapotoa hela zenu ili mpate kitu fulani hakikisheni hicho kitu ni kipya na hakijatumiwa na mtu.
Ngoja nikuelezee kidogo,
1) Kitu kilichotumika mara nyingi huwa sio bora ndio maana kinauzwa kama used.
2) Ukinunua kitu used ni dhahiri kuwa alieanza kukitumia kabla yako amekidharau hicho kitu ndio maana amekiacha.
3) Mtu aliekuachia kitu Used tambua kuwa ameshaona kitu chengine bora zaidi kuliko used anachokuachia wewe.
WANAUME WENZANGU NAWASHAURI TUTOE PESA ZETU KULIPIA KITU NEW NA SIO USED MAANA KITU USED NI KITU KIBOVU NA HAKINA THAMANI KULINGANISHA NA KIPYA.
Kumbuka hata hivyo vipya, kuna feki kibaoNingependa kuwashauri wanaume wenzangu kuwa mnapotoa hela zenu ili mpate kitu fulani hakikisheni hicho kitu ni kipya na hakijatumiwa na mtu.
Ngoja nikuelezee kidogo,
1) Kitu kilichotumika mara nyingi huwa sio bora ndio maana kinauzwa kama used.
2) Ukinunua kitu used ni dhahiri kuwa alieanza kukitumia kabla yako amekidharau hicho kitu ndio maana amekiacha.
3) Mtu aliekuachia kitu Used tambua kuwa ameshaona kitu chengine bora zaidi kuliko used anachokuachia wewe.
WANAUME WENZANGU NAWASHAURI TUTOE PESA ZETU KULIPIA KITU NEW NA SIO USED MAANA KITU USED NI KITU KIBOVU NA HAKINA THAMANI KULINGANISHA NA KIPYA.
Kumbe ndio anamaanisha hivyo?sikumuelewa nilichukua kama ilivyo kumbe looooh salalaeeeHivi kwanini mnahangaika sana? Kila siku mnafungua nyuzi mia kuhusu ma single mama, hivi kuna mtu amewalazimisha kuwaoa?
Wewe kama hutaki si ukae kimya uoe hao wapya wako
Sio kweli kila kilicho used kilidharauliwa wengine shida huwafanya wauzeNingependa kuwashauri wanaume wenzangu kuwa mnapotoa hela zenu ili mpate kitu fulani hakikisheni hicho kitu ni kipya na hakijatumiwa na mtu.
Ngoja nikuelezee kidogo,
1) Kitu kilichotumika mara nyingi huwa sio bora ndio maana kinauzwa kama used.
2) Ukinunua kitu used ni dhahiri kuwa alieanza kukitumia kabla yako amekidharau hicho kitu ndio maana amekiacha.
3) Mtu aliekuachia kitu Used tambua kuwa ameshaona kitu chengine bora zaidi kuliko used anachokuachia wewe.
WANAUME WENZANGU NAWASHAURI TUTOE PESA ZETU KULIPIA KITU NEW NA SIO USED MAANA KITU USED NI KITU KIBOVU NA HAKINA THAMANI KULINGANISHA NA KIPYA.
Soko zima ni la biashara za vitu used. Sio rahisi kupata kitu kipyaNingependa kuwashauri wanaume wenzangu kuwa mnapotoa hela zenu ili mpate kitu fulani hakikisheni hicho kitu ni kipya na hakijatumiwa na mtu.
Ngoja nikuelezee kidogo,
1) Kitu kilichotumika mara nyingi huwa sio bora ndio maana kinauzwa kama used.
2) Ukinunua kitu used ni dhahiri kuwa alieanza kukitumia kabla yako amekidharau hicho kitu ndio maana amekiacha.
3) Mtu aliekuachia kitu Used tambua kuwa ameshaona kitu chengine bora zaidi kuliko used anachokuachia wewe.
WANAUME WENZANGU NAWASHAURI TUTOE PESA ZETU KULIPIA KITU NEW NA SIO USED MAANA KITU USED NI KITU KIBOVU NA HAKINA THAMANI KULINGANISHA NA KIPYA.
ni vizuri kuzingatia taratibu, kanuni na sheria kwa weledi katika kuwasilisha hoja, habari, tetesi n.k.JAMIIFORUMS HAKUNA UHURU WA KUTOA HABARI.
Moderators wanafanya kazi yao bila ya Ueledi na misingi ya ofisi yao.
Wanafuta nyuzi hovyo na ukilalamika kwa kuandika uzi wanaufuta pia.
JAMIIFORUMS HAKUNA UHURU WA KUTOA HABARI.
Nimeandika uzi kuhusu kutofautiana kati ya Lema na Ntobi lakini Moderators wakafuta uzi.
Niliandika uzi kuhusu mmong'onyoko wa maadili kwa baadhi ya viongozi kuvuja video zao za faragha UZI UKAFUTWA.
JAMIIFORUMS HAKUNA UHURU WA KUTOA HABARI.
Yani hapa JamiiForums ukimuongelea mdau wao ni lazima uzi ufutwe.
INASIKITISHA SANA.
Hakuna taratibu yoyote niliyoivunja.ni vizuri kuzingatia taratibu, kanuni na sheria kwa weledi katika kuwasilisha hoja, habari, tetesi n.k.
hata hivyo wew ni mkali wa hoja unafahamika, nyuzi mbili tu kuzuiwa unafyumu hivyo?
hebu ziandike tena kwa lugha nyingine mujarabu tuone itakuaje. kumbuka vigezo na masharti kuzingatiwa 🐒
Kitu kipya utakipata wapi?Ningependa kuwashauri wanaume wenzangu kuwa mnapotoa hela zenu ili mpate kitu fulani hakikisheni hicho kitu ni kipya na hakijatumiwa na mtu.
Ngoja nikuelezee kidogo,
1) Kitu kilichotumika mara nyingi huwa sio bora ndio maana kinauzwa kama used.
2) Ukinunua kitu used ni dhahiri kuwa alieanza kukitumia kabla yako amekidharau hicho kitu ndio maana amekiacha.
3) Mtu aliekuachia kitu Used tambua kuwa ameshaona kitu chengine bora zaidi kuliko used anachokuachia wewe.
WANAUME WENZANGU NAWASHAURI TUTOE PESA ZETU KULIPIA KITU NEW NA SIO USED MAANA KITU USED NI KITU KIBOVU NA HAKINA THAMANI KULINGANISHA NA KIPYA.
check nao tu, mbana ni watu wangwana sana ,Hakuna taratibu yoyote niliyoivunja.
Sijawahi kuandika uzi wenye matusi au kumtukana mtu humu, na mara nyingi Moderators uchwara wasiokuwa na Ueledi wanafuta nyuzi bila ya kuzingatia dhamira ya uzi.
HUU UTOTO NIMEUVUMILIA SANA, NA SASAIVI NIMESHANYOOSHA MIKONO MAANA NAONA WASIMAMIZI WA HUMU HAWATAKI WATU WA-UPLOAD THREADS.
Vifaa used au mamitumba kumbe ni code inayohusu ma single mamas!Hivi kwanini mnahangaika sana? Kila siku mnafungua nyuzi mia kuhusu ma single mama, hivi kuna mtu amewalazimisha kuwaoa?
Wewe kama hutaki si ukae kimya uoe hao wapya wako
Hii code wataing'amua wachache sanaNingependa kuwashauri wanaume wenzangu kuwa mnapotoa hela zenu ili mpate kitu fulani hakikisheni hicho kitu ni kipya na hakijatumiwa na mtu.
Ngoja nikuelezee kidogo,
1) Kitu kilichotumika mara nyingi huwa sio bora ndio maana kinauzwa kama used.
2) Ukinunua kitu used ni dhahiri kuwa alieanza kukitumia kabla yako amekidharau hicho kitu ndio maana amekiacha.
3) Mtu aliekuachia kitu Used tambua kuwa ameshaona kitu chengine bora zaidi kuliko used anachokuachia wewe.
WANAUME WENZANGU NAWASHAURI TUTOE PESA ZETU KULIPIA KITU NEW NA SIO USED MAANA KITU USED NI KITU KIBOVU NA HAKINA THAMANI KULINGANISHA NA KIPYA.
Najua hutaki vijana waoe masingo maza mwenyewe siwezi, ila kwenye upande wa material things hizo gari used huko ulaya unataka zipelekwe wapi na vile tuko na hela za kuungaunga.Ningependa kuwashauri wanaume wenzangu kuwa mnapotoa hela zenu ili mpate kitu fulani hakikisheni hicho kitu ni kipya na hakijatumiwa na mtu.
Ngoja nikuelezee kidogo,
1) Kitu kilichotumika mara nyingi huwa sio bora ndio maana kinauzwa kama used.
2) Ukinunua kitu used ni dhahiri kuwa alieanza kukitumia kabla yako amekidharau hicho kitu ndio maana amekiacha.
3) Mtu aliekuachia kitu Used tambua kuwa ameshaona kitu chengine bora zaidi kuliko used anachokuachia wewe.
WANAUME WENZANGU NAWASHAURI TUTOE PESA ZETU KULIPIA KITU NEW NA SIO USED MAANA KITU USED NI KITU KIBOVU NA HAKINA THAMANI KULINGANISHA NA KIPYA.