Tusinunue vitu Used jamani

Tusinunue vitu Used jamani

JAMIIFORUMS HAKUNA UHURU WA KUTOA HABARI.

Moderators wanafanya kazi yao bila ya Ueledi na misingi ya ofisi yao.

Wanafuta nyuzi hovyo na ukilalamika kwa kuandika uzi wanaufuta pia.

JAMIIFORUMS HAKUNA UHURU WA KUTOA HABARI.

Nimeandika uzi kuhusu kutofautiana kati ya Lema na Ntobi lakini Moderators wakafuta uzi.

Niliandika uzi kuhusu mmong'onyoko wa maadili kwa baadhi ya viongozi kuvuja video zao za faragha UZI UKAFUTWA.

JAMIIFORUMS HAKUNA UHURU WA KUTOA HABARI.

Yani hapa JamiiForums ukimuongelea mdau wao ni lazima uzi ufutwe.

INASIKITISHA SANA.
Mbona kama sijaelewa
 
JAMIIFORUMS HAKUNA UHURU WA KUTOA HABARI.

Moderators wanafanya kazi yao bila ya Ueledi na misingi ya ofisi yao.

Wanafuta nyuzi hovyo na ukilalamika kwa kuandika uzi wanaufuta pia.

JAMIIFORUMS HAKUNA UHURU WA KUTOA HABARI.

Nimeandika uzi kuhusu kutofautiana kati ya Lema na Ntobi lakini Moderators wakafuta uzi.

Niliandika uzi kuhusu mmong'onyoko wa maadili kwa baadhi ya viongozi kuvuja video zao za faragha UZI UKAFUTWA.

JAMIIFORUMS HAKUNA UHURU WA KUTOA HABARI.

Yani hapa JamiiForums ukimuongelea mdau wao ni lazima uzi ufutwe.

INASIKITISHA SANA.
Mada zenyewe kama ndio hizo hata mimi ningefuta tu.


Maana zimekaa kiumbeaumbea tu
 
Ningependa kuwashauri wanaume wenzangu kuwa mnapotoa hela zenu ili mpate kitu fulani hakikisheni hicho kitu ni kipya na hakijatumiwa na mtu.

Ngoja nikuelezee kidogo,
1) Kitu kilichotumika mara nyingi huwa sio bora ndio maana kinauzwa kama used.

2) Ukinunua kitu used ni dhahiri kuwa alieanza kukitumia kabla yako amekidharau hicho kitu ndio maana amekiacha.

3) Mtu aliekuachia kitu Used tambua kuwa ameshaona kitu chengine bora zaidi kuliko used anachokuachia wewe.

WANAUME WENZANGU NAWASHAURI TUTOE PESA ZETU KULIPIA KITU NEW NA SIO USED MAANA KITU USED NI KITU KIBOVU NA HAKINA THAMANI KULINGANISHA NA KIPYA.
NO SINGLE SIZE FITS ALL

Unaweza ukawa umelichoka gari ukaliuza kama used , ila mnunuaji alijipanga miaka zaidi ya mitano ili apate hicho unachoona wewe used.

USILOLIJUA; Used kwako, kipya kwa mwengine

Hapo ni swala la fikra tu na Kila mtu ana zake..

Kwa upande wa wanawake, hakuna mwanamke used

Unayemuona wewe used mwenzako ndio anamtamani awe mpya wake
 
Ningependa kuwashauri wanaume wenzangu kuwa mnapotoa hela zenu ili mpate kitu fulani hakikisheni hicho kitu ni kipya na hakijatumiwa na mtu.

Ngoja nikuelezee kidogo,
1) Kitu kilichotumika mara nyingi huwa sio bora ndio maana kinauzwa kama used.

2) Ukinunua kitu used ni dhahiri kuwa alieanza kukitumia kabla yako amekidharau hicho kitu ndio maana amekiacha.

3) Mtu aliekuachia kitu Used tambua kuwa ameshaona kitu chengine bora zaidi kuliko used anachokuachia wewe.

WANAUME WENZANGU NAWASHAURI TUTOE PESA ZETU KULIPIA KITU NEW NA SIO USED MAANA KITU USED NI KITU KIBOVU NA HAKINA THAMANI KULINGANISHA NA KIPYA.
Kumbuka hata hivyo vipya, kuna feki kibao

Sometimes used ni bora kuliko mpya.
 
Hivi kwanini mnahangaika sana? Kila siku mnafungua nyuzi mia kuhusu ma single mama, hivi kuna mtu amewalazimisha kuwaoa?

Wewe kama hutaki si ukae kimya uoe hao wapya wako
Kumbe ndio anamaanisha hivyo?sikumuelewa nilichukua kama ilivyo kumbe looooh salalaeee
 
Kama umelenga wanaume,hapo sawa.

Lakini kama ni maisha ya kawaida,umebugi.
-Siku ukiacha kuvaa nguo mtumba,ukawezesha na wengine,tutakuelewa.
-Unajilinganishaje na wanaoacha vitu na kununua vipya? Shukuru Mungu hata hivyo unaviona. Vingekuwa havina thamani,usingeviona huku au kuona vikitumika.
-Uwezo wako pengine unakuruhusu kununua vipya, lakini wengine hata hivyo used hawana uwezo wa kuvipata.

Maisha ni barabara pana, mtu kumpita mwenzie,ruksa.
 
Ningependa kuwashauri wanaume wenzangu kuwa mnapotoa hela zenu ili mpate kitu fulani hakikisheni hicho kitu ni kipya na hakijatumiwa na mtu.

Ngoja nikuelezee kidogo,
1) Kitu kilichotumika mara nyingi huwa sio bora ndio maana kinauzwa kama used.

2) Ukinunua kitu used ni dhahiri kuwa alieanza kukitumia kabla yako amekidharau hicho kitu ndio maana amekiacha.

3) Mtu aliekuachia kitu Used tambua kuwa ameshaona kitu chengine bora zaidi kuliko used anachokuachia wewe.

WANAUME WENZANGU NAWASHAURI TUTOE PESA ZETU KULIPIA KITU NEW NA SIO USED MAANA KITU USED NI KITU KIBOVU NA HAKINA THAMANI KULINGANISHA NA KIPYA.
Sio kweli kila kilicho used kilidharauliwa wengine shida huwafanya wauze


All in all usinunue used apple products yoyote
 
Nikaanza kuwaza kitu used nachotak ninunue kumbe sio Lengo la mada 😀😀😀😀
Sijapenda
 
Ningependa kuwashauri wanaume wenzangu kuwa mnapotoa hela zenu ili mpate kitu fulani hakikisheni hicho kitu ni kipya na hakijatumiwa na mtu.

Ngoja nikuelezee kidogo,
1) Kitu kilichotumika mara nyingi huwa sio bora ndio maana kinauzwa kama used.

2) Ukinunua kitu used ni dhahiri kuwa alieanza kukitumia kabla yako amekidharau hicho kitu ndio maana amekiacha.

3) Mtu aliekuachia kitu Used tambua kuwa ameshaona kitu chengine bora zaidi kuliko used anachokuachia wewe.

WANAUME WENZANGU NAWASHAURI TUTOE PESA ZETU KULIPIA KITU NEW NA SIO USED MAANA KITU USED NI KITU KIBOVU NA HAKINA THAMANI KULINGANISHA NA KIPYA.
Soko zima ni la biashara za vitu used. Sio rahisi kupata kitu kipya
 
JAMIIFORUMS HAKUNA UHURU WA KUTOA HABARI.

Moderators wanafanya kazi yao bila ya Ueledi na misingi ya ofisi yao.

Wanafuta nyuzi hovyo na ukilalamika kwa kuandika uzi wanaufuta pia.

JAMIIFORUMS HAKUNA UHURU WA KUTOA HABARI.

Nimeandika uzi kuhusu kutofautiana kati ya Lema na Ntobi lakini Moderators wakafuta uzi.

Niliandika uzi kuhusu mmong'onyoko wa maadili kwa baadhi ya viongozi kuvuja video zao za faragha UZI UKAFUTWA.

JAMIIFORUMS HAKUNA UHURU WA KUTOA HABARI.

Yani hapa JamiiForums ukimuongelea mdau wao ni lazima uzi ufutwe.

INASIKITISHA SANA.
ni vizuri kuzingatia taratibu, kanuni na sheria kwa weledi katika kuwasilisha hoja, habari, tetesi n.k.

hata hivyo wew ni mkali wa hoja unafahamika, nyuzi mbili tu kuzuiwa unafyumu hivyo?

hebu ziandike tena kwa lugha nyingine mujarabu tuone itakuaje. kumbuka vigezo na masharti kuzingatiwa 🐒
 
ni vizuri kuzingatia taratibu, kanuni na sheria kwa weledi katika kuwasilisha hoja, habari, tetesi n.k.

hata hivyo wew ni mkali wa hoja unafahamika, nyuzi mbili tu kuzuiwa unafyumu hivyo?

hebu ziandike tena kwa lugha nyingine mujarabu tuone itakuaje. kumbuka vigezo na masharti kuzingatiwa 🐒
Hakuna taratibu yoyote niliyoivunja.

Sijawahi kuandika uzi wenye matusi au kumtukana mtu humu, na mara nyingi Moderators uchwara wasiokuwa na Ueledi wanafuta nyuzi bila ya kuzingatia dhamira ya uzi.

KUNA MEMBERS KIBAO TU WALISHALALAMIKA KUHUSU HUU UPUUZI LAKINI HAKUNA HATUA ILIYOCHUKULIWA.

HUU UTOTO NIMEUVUMILIA SANA, NA SASAIVI NIMESHA-GIVEUP MAANA NAONA WASIMAMIZI WA HUMU HAWATAKI WATU WA-UPLOAD THREADS.
 
Ningependa kuwashauri wanaume wenzangu kuwa mnapotoa hela zenu ili mpate kitu fulani hakikisheni hicho kitu ni kipya na hakijatumiwa na mtu.

Ngoja nikuelezee kidogo,
1) Kitu kilichotumika mara nyingi huwa sio bora ndio maana kinauzwa kama used.

2) Ukinunua kitu used ni dhahiri kuwa alieanza kukitumia kabla yako amekidharau hicho kitu ndio maana amekiacha.

3) Mtu aliekuachia kitu Used tambua kuwa ameshaona kitu chengine bora zaidi kuliko used anachokuachia wewe.

WANAUME WENZANGU NAWASHAURI TUTOE PESA ZETU KULIPIA KITU NEW NA SIO USED MAANA KITU USED NI KITU KIBOVU NA HAKINA THAMANI KULINGANISHA NA KIPYA.
Kitu kipya utakipata wapi?

Labda twende kwa Mswati!
 
Hakuna taratibu yoyote niliyoivunja.

Sijawahi kuandika uzi wenye matusi au kumtukana mtu humu, na mara nyingi Moderators uchwara wasiokuwa na Ueledi wanafuta nyuzi bila ya kuzingatia dhamira ya uzi.

HUU UTOTO NIMEUVUMILIA SANA, NA SASAIVI NIMESHANYOOSHA MIKONO MAANA NAONA WASIMAMIZI WA HUMU HAWATAKI WATU WA-UPLOAD THREADS.
check nao tu, mbana ni watu wangwana sana ,
na ofcoz watakuelekeza wap kuna changamoto kwenye hizo bandiko zako walizo zizuia 🐒

just be positive, focus on resolving
 
Hivi kwanini mnahangaika sana? Kila siku mnafungua nyuzi mia kuhusu ma single mama, hivi kuna mtu amewalazimisha kuwaoa?

Wewe kama hutaki si ukae kimya uoe hao wapya wako
Vifaa used au mamitumba kumbe ni code inayohusu ma single mamas!

Mkuu mbona umechelewa kutangiza, ili utuokoe kuliwa akili?

Mi nikawa nafikiria ma fridge na mapasi toka ulaya!

Basi hii topic ime codewa kwa akili za kijanja sana, ukitaka kukubaliana na mimi, zisome comments za wadau.
 
Ningependa kuwashauri wanaume wenzangu kuwa mnapotoa hela zenu ili mpate kitu fulani hakikisheni hicho kitu ni kipya na hakijatumiwa na mtu.

Ngoja nikuelezee kidogo,
1) Kitu kilichotumika mara nyingi huwa sio bora ndio maana kinauzwa kama used.

2) Ukinunua kitu used ni dhahiri kuwa alieanza kukitumia kabla yako amekidharau hicho kitu ndio maana amekiacha.

3) Mtu aliekuachia kitu Used tambua kuwa ameshaona kitu chengine bora zaidi kuliko used anachokuachia wewe.

WANAUME WENZANGU NAWASHAURI TUTOE PESA ZETU KULIPIA KITU NEW NA SIO USED MAANA KITU USED NI KITU KIBOVU NA HAKINA THAMANI KULINGANISHA NA KIPYA.
Hii code wataing'amua wachache sana
 
Ningependa kuwashauri wanaume wenzangu kuwa mnapotoa hela zenu ili mpate kitu fulani hakikisheni hicho kitu ni kipya na hakijatumiwa na mtu.

Ngoja nikuelezee kidogo,
1) Kitu kilichotumika mara nyingi huwa sio bora ndio maana kinauzwa kama used.

2) Ukinunua kitu used ni dhahiri kuwa alieanza kukitumia kabla yako amekidharau hicho kitu ndio maana amekiacha.

3) Mtu aliekuachia kitu Used tambua kuwa ameshaona kitu chengine bora zaidi kuliko used anachokuachia wewe.

WANAUME WENZANGU NAWASHAURI TUTOE PESA ZETU KULIPIA KITU NEW NA SIO USED MAANA KITU USED NI KITU KIBOVU NA HAKINA THAMANI KULINGANISHA NA KIPYA.
Najua hutaki vijana waoe masingo maza mwenyewe siwezi, ila kwenye upande wa material things hizo gari used huko ulaya unataka zipelekwe wapi na vile tuko na hela za kuungaunga.
 
Back
Top Bottom