Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Bora 'panya road' kuliko 'panya office'Serikali Hii inafanya WIZI WA PANYA OFFICE. ni tofauti ndogo tu na PANYA ROAD. Watanzania tusikubali na kuruhusu huu WIZI tunaofanyiwa na Serikali hii ya kikatili.
Mkuu na mimi ndo nimetoka kupata hiyo meseji kutoka bank ya Equity.....na hii hali ilivyo ngumu buku 4 imefyekwa huko pasipo kupewa huduma yoyote kuhalalisha hiyo pesa kukatwa, naona turudi tu kwenye uchaguzi waje wengine walio serious kuongoza nchi.Kila transaction uliyofanya kuanzia mwezi wa 7 serikali inakukata 4000 mara 2. Huu ni WIZI. nasisitiza huu ni WIZI WA WAZI KABISA.
Serikali Hii inafanya WIZI WA PANYA OFFICE. ni tofauti ndogo tu na PANYA ROAD. Watanzania tusikubali na kuruhusu huu WIZI tunaofanyiwa na Serikali hii ya kikatili.
Yaani nimekaa tu home zinakuja msg nimekatwa jumla tsh 8,000 napiga simu bank wananiambia ni TOZO. HUU NI WIZI. SERIKALI INATUIBIA WAZIWAZI KABISA.
Nikamateni mnifunge....mimi nimesema. Wacha iwe tu. Nimekaa pale.ππ‘
Bure kabisa.... Jamaa kichwani hana kitu. Ana vyeti tu.Awamu hii ya Daktari wa uchumi ni anasa kufanya miamala ya kibenki. Ni bora kwa sasa kuhifadhi pesa nyumbani, badala ya benki.
Ubunifu wake kwenye kodi ni majanga kwa wananchi wa hali ya chini!Bure kabisa.... Jamaa kichwani hana kitu. Ana vyeti tu.
Kila transaction uliyofanya kuanzia mwezi wa 7 serikali inakukata 4000 mara 2. Huu ni WIZI. nasisitiza huu ni WIZI WA WAZI KABISA.
Serikali Hii inafanya WIZI WA PANYA OFFICE. ni tofauti ndogo tu na PANYA ROAD. Watanzania tusikubali na kuruhusu huu WIZI tunaofanyiwa na Serikali hii ya kikatili.
Yaani nimekaa tu home zinakuja msg nimekatwa jumla tsh 8,000 napiga simu bank wananiambia ni TOZO. HUU NI WIZI. SERIKALI INATUIBIA WAZIWAZI KABISA.
Nikamateni mnifunge....mimi nimesema. Wacha iwe tu. Nimekaa pale.ππ‘