Tusio na AC au viyoyozi sasa tunalala kwa amani lakini tunakanyaga vinyesi

Tusio na AC au viyoyozi sasa tunalala kwa amani lakini tunakanyaga vinyesi

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
1651235586672.png

Wakuu afadhali ungeundwa mfumo wa centra sewege system kwenye maeneo mapya. Haya mambo ya watu kufungua chamber za vyoo kipindi hiki cha mvua ni hatari kwa afya ya jamii.

Watoto wanachezea maji na wengine wanakunywa maji machafu. Gharama za maisha zimepanda, wakati unafikiria chakula na kodi ya nyumba linazuka la mtoto kuhara.

Huko kweny kuna hali gani wenzangu?
 
Tumeishi maisha haya kwa miaka mingi, awamu mpaka awamu....! Aibu isiyokoma.

Serikali ipo madarakani kwa miaka zaidi ya 50.

Ubongo wa watu weusi umefanana na hayo maji
 
View attachment 2204853
Wakuu afadhali ungeundwa mfumo wa centra sewege system kwenye maeneo mapya. Haya mambo ya watu kufungua chamber za vyoo kipindi hiki cha mvua ni hatari kwa afya ya jamii.

Watoto wanachezea maji na wengine wanakunywa maji machafu. Gharama za maisha zimepanda, wakati unafikiria chakula na kodi ya nyumba linazuka la mtoto kuhara.

Huko kweny kuna hali gani wenzangu?
KIPANYA KATIKA UBORA WAKE
 
Back
Top Bottom