Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
-
- #261
acha kutupa moyo, hiyo Forester XT hapo parking ni ya nani πKikubwa uhai
Kama ni anasa nzuri, Jitahidi ziku pitie mkuuYaaani mradi mkono.uende kinywani, hayo mengine ni anasa za dunia tuu. Hayapo kwenye ile basic need ya binadam
Sasa huwezo huna wa pikipiki ndugu hilo gari unaweza liota nfuguKama ni anasa nzuri, Jitahidi ziku pitie mkuu
ndo tupambanie kombe mzeeSasa huwezo huna wa pikipiki ndugu hilo gari unaweza liota nfugu
Miye sitaki presha ntanunua nikistafuuu kwa kiinua mgongondo tupambanie kombe mzee
Hapo ndo una jichimbia kaburiMiye sitaki presha ntanunua nikistafuuu kwa kiinua mgongo
Kaburi kivipi wakati ndiyo miguu itaanza kuuma usafiri utaitajokaHapo ndo una jichimbia kaburi