Zulu man
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 6,084
- 15,998
Utabaka sabuni hadi lini? kaombe msamahaUsha anza, yupo Sasa ??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utabaka sabuni hadi lini? kaombe msamahaUsha anza, yupo Sasa ??
Halafu nyimbo yetu haija isha 😂Utabaka sabuni hadi lini? kaombe msamaha
Mie mnipige ban tu ila kusema uwongo siwez team bora uhaiNi mwiko kusema humiliki gari jf, utakula ban. Hii ni platform ya matajiri.
Hahaha, dah ma jobless tuko vizuri🤣Nawakumbusha tu Team kikubwa uhai tunaendelea kuwaburuza vibaya sana team sina gari na team nina gari mpaka sasa tunaongoza kwa 50% endeleeni kupiga kura wadau huku tukisubili ugari kutoka kwa dada kwa hisani ya shemeji
Nafunga mkono hoja yako mh Rais wa majobless promaxmakutupora nataka tufike Wanachama laki 1
Ina pendeza ma jobless pro max kuunngana🤣😂Nafunga mkono hoja yako mh Rais wa majobless promax
Mkuu mimi gari ninayo ila sio kali hvo kama unavozaniaUnatuchora mzee, wewe unamiliki mikwaju mikali kabisa.
Kwa tetesi ni kua wewe na Poor Brain ndo wenye ndinga kali jf
Vincenzo Jr nilimshauri asiuze gari yake, ila ndo ivo kamuuzia jamaa wa Dubai, imagine used inatoka bongo kwenda Dubenga oya sio poa
Ntawawahisiku waki kasirika, wata kugeuza mboga 😂😂
Boya wewe 😆Ntawawahi
Sisi tunaovimbia IST za mishangazi tunakutana wapi?Mimi Kama raisi wa ma jobless pro max, nime ona niitishe kikao cha dharura.
Lengo la kuitisha kikao ni kujua idadi ya ma jobles tusio na magari, humu jf maana kila uzi ninao tembelea idadi kubwa ya member ni mataita.
Tuki ijua idadi yetu, tuna weza tukawa tuna waomba lift hawa ma don😆😂.
I mean no malice to nobody .
View attachment 3201802
Nyinyi huu uzi hauwafai, maana nyie wakishua😆Sisi tunaovimbia IST za mishangazi tunakutana wapi?
la kuchoraGari la nini?
hatumtaki raisi asiye na gari miaka hiiMimi Kama raisi wa ma jobless pro max, nime ona niitishe kikao cha dharura.
Lengo la kuitisha kikao ni kujua idadi ya ma jobles tusio na magari, humu jf maana kila uzi ninao tembelea idadi kubwa ya member ni mataita.
Tuki ijua idadi yetu, tuna weza tukawa tuna waomba lift hawa ma don😆😂.
I mean no malice to nobody .
View attachment 3201802
Chama Cha ma jobles pro max, hayo magari kwa sisi mafukara si wehu huo😂🤣hatumtaki raisi asiye na gari miaka hii
Ila bro una penda ugomvi Sana 😂Utabaka sabuni hadi lini? kaombe msamaha