Tusio na Magari tukutane hapa

Tusio na Magari tukutane hapa

Je una gari au hauna??


  • Total voters
    116
Nawakumbusha tu Team kikubwa uhai tunaendelea kuwaburuza vibaya sana team sina gari na team nina gari mpaka sasa tunaongoza kwa 50% endeleeni kupiga kura wadau huku tukisubili ugari kutoka kwa dada kwa hisani ya shemeji
 
Mimi Kama raisi wa ma jobless pro max, nime ona niitishe kikao cha dharura.

Lengo la kuitisha kikao ni kujua idadi ya ma jobles tusio na magari, humu jf maana kila uzi ninao tembelea idadi kubwa ya member ni mataita.

Tuki ijua idadi yetu, tuna weza tukawa tuna waomba lift hawa ma don😆😂.

I mean no malice to nobody .
View attachment 3201802
Sisi tunaovimbia IST za mishangazi tunakutana wapi?
 
Mimi Kama raisi wa ma jobless pro max, nime ona niitishe kikao cha dharura.

Lengo la kuitisha kikao ni kujua idadi ya ma jobles tusio na magari, humu jf maana kila uzi ninao tembelea idadi kubwa ya member ni mataita.

Tuki ijua idadi yetu, tuna weza tukawa tuna waomba lift hawa ma don😆😂.

I mean no malice to nobody .
View attachment 3201802
hatumtaki raisi asiye na gari miaka hii
 
Back
Top Bottom