kanchibay
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 671
- 690
Enyi nduguzangu, natumai mu wazima kabisa waafya,
Kwakweli nduguzanguni wale ambao hatuna hata wakutualika ili tupate kushiriki furaha ya sikukuu ya pasaka tukutane hapa ili tuweze kujua lipi latusibu mpaka tunakosa mtu wa kutupa mualiko.
Uzi tayari.
Kwakweli nduguzanguni wale ambao hatuna hata wakutualika ili tupate kushiriki furaha ya sikukuu ya pasaka tukutane hapa ili tuweze kujua lipi latusibu mpaka tunakosa mtu wa kutupa mualiko.
Uzi tayari.