Tusio na muonekano mzuri kwenye picha tunanyanyasika mtandaoni

Tusio na muonekano mzuri kwenye picha tunanyanyasika mtandaoni

sanalii

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2018
Posts
1,639
Reaction score
5,767
Yani ambao hatupo photogenic, tunaopiga picha kama tunalia na sura zetu personal tunanyanyasika sana, unawasiliana na mtu vizuri, ikifika kipengdle cha picha unashangaa ghafla mtu amebadilika hachat vizuri kama mwanzoni alipokua hajaona sura yako, na anaweza aka ku ghost kabisa

Social media are so harsh to us
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
20220816_083220.jpg
 
Weka picha mzee, wengine wazuri kwa sura tako hawana, umbo zuri sura ndio hivyo, wengine wanajitakia wenyewe eti anajikologa huku miguu pepsi, acheni hivyo. Mungu amekuumba kama ulivyo why umkosoe!!
 
Kama unajijua unasura pasono kwa nini uchart na watoto wazuri..? Unategemea nini ukiombwa picha[emoji28]
 
Back
Top Bottom