Tusio na muonekano mzuri kwenye picha tunanyanyasika mtandaoni

Tusio na muonekano mzuri kwenye picha tunanyanyasika mtandaoni

Pole sana, nikushauri tu kwamba:
1. Anza kufanya mazoezi kila siku uutengeneze mwili wako ukae vile unahtaji ( hii ni kwa both male and female)
2. Vaa ngua zinazokutosha, i mean ngua zinazoendana na mwili wako na umri wako ( sio binti wa 22 unavaa manguo kama ya mmama au kijana wa 22 unavaa mabuga)
3. Tengeneza nywele zako atleast mara moja kwa 2 weeks, hii itakufanya haiba isipotee usoni hata ukipiga picha itatokea fresh.
4. Tumia mafuta mazuri kwenye ngozi na nywele uonekane nadhifu, i mean ngozi isiwe na mabaka na nywele ziwe nyeusi
5. Vaa accessories kama saa, kalcha n.k hii inakuongezea kua photogenic kwenye picha

N.B sio mpaka uvae vitu vya bei ghali, kumbuka unaweza nunua vitu vya bei juu na usipendeze. Kua presentable tu inatosha

Chamwisho, Camera unayotumia pia iwe nzuri tumia Iphone, Google pixel au Samsung ndo znatoa picha nzuri za kueditika ukapendeza [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app

Umemaliza mkuu
 
Kizazi sana
Screenshot_20220121-232841.jpg
 
Yani ambao hatupo photogenic, tunaopiga picha kama tunalia na sura zetu personal tunanyanyasika sana, unawasiliana na mtu vizuri, ikifika kipengdle cha picha unashangaa ghafla mtu amebadilika hachat vizuri kama mwanzoni alipokua hajaona sura yako, na anaweza aka ku ghost kabisa

Social media are so harsh to us
Tafuta pesa bro hutanyanyasika
 
Tafuta hela ww , ukiwa na hela dem ukimtumia tu pesa yeye hajali sana kuhusu sura yako.

Kuna bro mmoja ana mawe na smart ila ana sura mwizi [emoji1787]yule jamaa me huwa nasema wanawake wana huruma sana aise.. yule jamaa anaweza kusinzia mmekaa anakoroma hapo hapo alafu anacha mdomo wazi sasa najiuliza kama sisi wanaume anatukera je usiku na mkewe anavumiliaje? Sema lina pesa lina mke mzuri balaa kuliko hata nyie masharo uchwara
 
Back
Top Bottom