Nitakua home nacheki game ya Cape verde
Hii nayo itauzwa kwa nusu bei?Nitakuwa TIPS na check game huku shushia na wine aina FOUR COUSIN kubwa.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Chief - Nishtue ukifika hapo Kilimani - tuiwahi hii "offer" ya Makonda......Mimi ni Mdau wa hapo Kilimani...Kama tunavyojua leo timu yetu ya Taifa itakuwa ikitafuta tiketi ya Afcon.Kwa wale tutakaokosa nafasi ya kwenda Uwanjani tujuzane sehemu ya kwenda shuhudia mtanange huo,binafsi nafikiria kuwa maeneo ya Kilimani pub Kimara au 40-40 Tabata nikitaraji kunywa Castle lite kwa buku. Nina mshikaji yuko Dodoma atakuwa Platnamz. Wewe unatarajia kuwa Kiwanja gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Villa park MwanzaKama tunavyojua leo timu yetu ya Taifa itakuwa ikitafuta tiketi ya Afcon.Kwa wale tutakaokosa nafasi ya kwenda Uwanjani tujuzane sehemu ya kwenda shuhudia mtanange huo,binafsi nafikiria kuwa maeneo ya Kilimani pub Kimara au 40-40 Tabata nikitaraji kunywa Castle lite kwa buku. Nina mshikaji yuko Dodoma atakuwa Platnamz. Wewe unatarajia kuwa Kiwanja gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
SintakuangushaChief - Nishtue ukifika hapo Kilimani - tuiwahi hii "offer" ya Makonda......Mimi ni Mdau wa hapo Kilimani...
Kama tunavyojua leo timu yetu ya Taifa itakuwa ikitafuta tiketi ya Afcon.Kwa wale tutakaokosa nafasi ya kwenda Uwanjani tujuzane sehemu ya kwenda shuhudia mtanange huo,binafsi nafikiria kuwa maeneo ya Kilimani pub Kimara au 40-40 Tabata nikitaraji kunywa Castle lite kwa buku. Nina mshikaji yuko Dodoma atakuwa Platnamz. Wewe unatarajia kuwa Kiwanja gani?
Sent using Jamii Forums mobile app