Tusiogope kuwaeleza ukweli wazee wetu; Warioba na Butiku mnaweza dhana mnasuluhisha kumbe mnaahirisha Mpasuko wa Taifa letu. Jisahihisheni

Tusiogope kuwaeleza ukweli wazee wetu; Warioba na Butiku mnaweza dhana mnasuluhisha kumbe mnaahirisha Mpasuko wa Taifa letu. Jisahihisheni

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2019
Posts
762
Reaction score
6,984
Mzee Warioba na Butiku wanaweza wakashindwa kutumia heshima waliuyopewa na Mwenyenzi Mungu kuwajaalia afya njema lakini pia na Taifa Kwa hekima na busara zao.

Wazee Hawa wamekuwa wakitumika mara kwa mara pale CCM inapolikoroga,utumika kuwa njia ya maridhiano na kwa miaka yote walioshirikishwa kuwa daraja hakuna siku wamewahi kuvusha watu kinyume na maslahi ya CCM. Maamuzi na mikakati yao imeegemea zaidi CCM nakuacha Taifa pembeni.

Binadamu upitiwa na akipitiwa ukumbushwa. Naomba niwakumbushe wazee Hawa kwamba watanzania wanaweza kuendelea kuwepo bila kuwepo Kwa ccm lakini ni vigumu CCM kuwepo bila Watanzania. Endapo kwao wao usuluhishi nikuongea Kwa uka dhidi ya wasio na Madara na kuongea Kwa upole Tena gizani dhidi ya wenye madaraka basi wao wamechagua kutumikia chama na kuliacha Taifa.

Tumepita pagumu hatuwaoni wakikemea adharani Ila tunasikia wakisuluhisha gizani, siyo kwamba awajui umuhimu wao Katika kusema adharani Bali wanatambua wakisema ukweli adharani watawala watakasirika. Je, hawawoni kwamba Sasa ni Muda wao kuwasemea na kuwasimamia watawaliwa? Lini watatambua kwamba ukimya wao umetunyima kupiga hatua? Wamepewa nafasi ya Musa lakini wanawaza kutuweka utumwani Misri badala ya kutufikisha nchi ya ahadi.

Niwaombe Watanzania tusiwafumbie macho wazee Hawa, tuwaambie ukweli kwamba kama wanafurahishwa na Hali ilivyo Tanzania kisiasa basi poa Ila kama wanatambua Hali si shwari na hakuna mmoja Kati yao aliyeamua kuzungumza adharani dhidi ya watawala basi kesho yeti isipokuwa nzuri watakuwa wamechangia.


Niwaombe wazee wenzangu tujipoge kifua na kusema hakuna Mzee mnafiki. Mambo ya Giza tuwaachie vijana sisi wazee tukemee kwa usawa.
 
Ccm
IMG_20211117_171826.jpg
 
Niwaombe wazee wenzangu tujipoge kifua na kusema hakuna Mzee mnafiki. Mambo ya Giza tuwaachie vijana sisi wazee tukemee kwa usawa.

Nimewahi kuandika huko nyuma kuwa kuchanganya busara za Jaji Sinde Warioba na Butiku sio sahihi. Jaji Warioba has always been consistent na misimamo yake ya kuweka Taifa Mbele na si kupendelea chama cha siasa!! On the contrary Butiku amekuwa bendera kufuata maslahi yake, wale wasiosaidia taasisi yake walikuwa ndio anawakosoa lakini wale waliosaidia alikuwa kimya kama vile hayupo!!

Hivi sasa Butiku anaanza kujitokeza ili aonekane kwa Samia kuwa nae bado yupo!! It is reminiscent, when ELON MUSK asked Senator Bernie Sanders " ARE YOU STILL ALIVE"?
 
Nimewahi kuandika huko nyuma kuwa kuchanganya busara za Jaji Sinde Warioba na Butiku sio sahihi. Jaji Warioba has always been consistent na misimamo yake ya kuweka Taifa Mbele na si kupendelea chama cha sigas!! On the contrary Butiku amekuwa bendera kufuata maslahi yake, wale wasiosaidia taasis yake walikuwa ndio anawakosoa lakini wale waliosaidia alikuwa kimya kama vile hayupo!!

Hivi sasa Butiku anaanza kujitokeza ili aonekane kwa Samia Kuwa nae bado yupo!! It is reminiscent, when ELON MUSK asked Senator Bernie Sanders " ARE YOU STILL ALIVE"?
Juzi kwenye kipindi Star TV alipigwa swali kuhusu issue ya fedha za uhuru JPM alizopeleka kupanua barabara na barabara hiyo hiyo waziri wa ujenzi kasema imejengwa kwa fedha za mkopo daaah mzee aligeuka mbogo na kumcharukia mwandishi eti kwa nini anamuuliza maswali chonganishi?? [emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom