Tusiokunywa Pombe Njooni Tuelezane Vinywaji Vya Kuagiza Tukiwa Bar

Tusiokunywa Pombe Njooni Tuelezane Vinywaji Vya Kuagiza Tukiwa Bar

Window7

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2013
Posts
4,098
Reaction score
3,038
Salaaam wakuu.

Mimi sio mlevi wa pombe ila Nina kilevi changu, na kuacha haiwezekani.[emoji14]

Back to topic.

Nmekua mtembeleaji mzuri wa bar ila sasa napata shida linapokuja suala la kuagiza kinywaji hasa ninapokua na marafiki zangu ambao wengi ni wanywaji.

Sasa nmeona haya maji na juice vimekua common kila "out" juice tuuuu. Maji tuuuu. Mpaka najikuta natengwaaa.

Hebu tupeane uzoefu kuna kinywaji ambacho sio kilevi kinaweza kua mbadala wa juice na maji hata kama ni expensive? Achilia hizi common Bavaria...?
 
Kwenda bar au kutotumia kilevi si tatizo, tatizo ni kupoteza muda mrefu na walevi huku wewe ukijaza tumbo kwa soda au mijuice.
Nenda bar kwa shughuli maalum kwa kula au maongezi yenye tija, ukimaliza we sepa waachie meza zao walevi la sivyo utaona tu wanakukera...
 
Acha kwenda bar kwani lazima? kuna sehemu nyingi za kwenda ukitoa bar! kwani sehemu ya starehe ni bar tu?
 
Mimi natumia
1. Maji
2. Grand malt.
3. Schweppes Novida
109512cb6888baf4d0de8c57e399b0a6.jpg
 
Back
Top Bottom