Window7
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 4,098
- 3,038
Salaaam wakuu.
Mimi sio mlevi wa pombe ila Nina kilevi changu, na kuacha haiwezekani.[emoji14]
Back to topic.
Nmekua mtembeleaji mzuri wa bar ila sasa napata shida linapokuja suala la kuagiza kinywaji hasa ninapokua na marafiki zangu ambao wengi ni wanywaji.
Sasa nmeona haya maji na juice vimekua common kila "out" juice tuuuu. Maji tuuuu. Mpaka najikuta natengwaaa.
Hebu tupeane uzoefu kuna kinywaji ambacho sio kilevi kinaweza kua mbadala wa juice na maji hata kama ni expensive? Achilia hizi common Bavaria...?
Mimi sio mlevi wa pombe ila Nina kilevi changu, na kuacha haiwezekani.[emoji14]
Back to topic.
Nmekua mtembeleaji mzuri wa bar ila sasa napata shida linapokuja suala la kuagiza kinywaji hasa ninapokua na marafiki zangu ambao wengi ni wanywaji.
Sasa nmeona haya maji na juice vimekua common kila "out" juice tuuuu. Maji tuuuu. Mpaka najikuta natengwaaa.
Hebu tupeane uzoefu kuna kinywaji ambacho sio kilevi kinaweza kua mbadala wa juice na maji hata kama ni expensive? Achilia hizi common Bavaria...?