Baba Genovivah
JF-Expert Member
- Sep 1, 2013
- 756
- 249
Pombe sio lazima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jamani nimezinywa jana hizo gladn malta tumbo likajaa !nilijuta jaman bora ningekunywa maji tu !sitakunywa teeenaGland Malta hutajuta aise
Umeona eeehUko vizuri
hahaha savana?Savanna au Malta.
Ni kweli lakini, au unatuzuga tu hapa[emoji23]Umeona eeeh
Ulikunywa ngapi kwanijamani nimezinywa jana hizo gladn malta tumbo likajaa !nilijuta jaman bora ningekunywa maji tu !sitakunywa teeena
Itakuwa ulitumia za moto wewejamani nimezinywa jana hizo gladn malta tumbo likajaa !nilijuta jaman bora ningekunywa maji tu !sitakunywa teeena
yes ilikua moto !yaan niliharibu sherehe !mbaafu kbs !sikujua!kulikua na bia za kiume nikasema isiwe kesiItakuwa ulitumia za moto wewe
Hizo utakunywa ngapiAgiza azam energy drink hutojuta hakika
Za moto huwa zinajaza tumbo balaa, ukitaka uzifaidi vizuri ziwe za baridi.yes ilikua moto !yaan niliharibu sherehe !mbaafu kbs !sikujua!kulikua na bia za kiume nikasema isiwe kesi
Kweli kabisaaaNi kweli lakini, au unatuzuga tu hapa[emoji23]
1 tu ! yaan hata kula nikashindwa tumbo ndiii !arghhUlikunywa ngapi kwani
yaan ndo najua leo hii !ahsante siku km sina mzuka wa wine ntakunywa baridi ! ila mhh hazina ladha jamanZa moto huwa zinajaza tumbo balaa, ukitaka uzifaidi vizuri ziwe za baridi.
HongeraKweli kabisaaa
Hujazizoea ndio maana unasema hazina radha, pia kwa uzoefu wangu zikiwa za moto zinakuwa hazina radha nzuri tofauti na zikiwa za baridiii. [emoji39] [emoji39] [emoji39]yaan ndo najua leo hii !ahsante siku km sina mzuka wa wine ntakunywa baridi ! ila mhh hazina ladha jaman
Aaaaaaa! ulikosea ulitakiwa unywe 6, hapo gesi ingetoka yenyewe haiwezi kukaa1 tu ! yaan hata kula nikashindwa tumbo ndiii !arghh