Tusione aibu kumpongeza Mbowe na Rais Samia

Tusione aibu kumpongeza Mbowe na Rais Samia

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Kuna watu wa Chadema ndaki ndaki wanaoenda kupinga kila kitu kiasi cha kumpiga madongo mwenyekiti wao. Kwao ni ule utamaduni wa kulalama tu na wanapata shida kumpongeza Mbowe lakini vilevile hawawezi kupongeza Rais hata kama kafanya mazuri.

Lakini kuna kundi la CCM nalo ni kama Chadema wananufaika na mabishano yasiyo na msingi. Lakini baya zaidi kulikuwa na viongozi wa usalama wa nchi yetu ambayo walikuwa wanamtisha kwa uongo Raisi Samia kuhusu upinzani. Kumbe Mbowe sio gaidi! kama walipofika kumwaminisha Rais.

Haya aliyosema jana Raisi Samia ni pongezi kwake lakini tusimsahu Mbowe ambaye ameweka Uzalendo mbele. Sio aibu kupongeza kama viongozi wanastahili na sio kukosoa kila mara.
 
Tutamtoa_Mkoloni_Mweusi_Soon_on_Instagram%3A_%E2%80%9CMwenyekiti_wa_Chadema_Taifa_akisalimiana...jpg
 
Kuna watu wa Chadema ndaki ndaki wanaoenda kupinga kila kitu kiasi cha kumpiga madongo mwenyekiti wao. Kwao ni ule utamaduni wa kulalama tu na wanapata shida kumpongeza Mbowe lakini vilevile hawawezi kupongeza Raisi hata kama kafanya mazuri

Lakini kuna kundi la CCM nalo ni kama Chadema wananufaika na mabishano yasiyo na msingi. Lakini baya zaidi kulikuwa na viongozi wa usalama wa nchi yetu ambayo walikuwa wanamtisha kwa uongo Raisi Samia kuhusu upinzani. Kumbe Mbowe sio gaidi! kama walipofika kumwaminisha Raisi

Haya aliyosema jana Raisi Samia ni pongezi kwake lakini tusimsahu Mbowe ambaye ameweka Uzalendo mbele. Sio aibu kupongeza kama viongozi wanastahili na sio kukosoa kila mara.
Kuna jambo umeongea limenifikirisha sana.

Tena baada ya kutafakari hatua zilizochukuliwa kwa pamoja…mfano kumuondoa mkuu wa usalama na kuruhusu mikutano ya kisiasa na katiba mpya.
 
Pongezi kwao , sema ni sehemu ya majukumu Yao hivyo wamalizie palipobakia ili pongezi ziwe na ujazo TUNANGOJEA HOJA TOKA PANDE ZOTE ZA VYAMA VYA SIASA( Hali mbaya za maisha ninyi basi watz tuna subira ya SGR).
 
Mambo ya mikutano ya hadhara kuruhusiwa yalipendekezwa kwanza na kikosi kazi

Mbowe alialikwa tu jana Ikulu ila matunda ya jana ni matokeo ya ushauri wa kikosi kazi

Mazungumzo ya Mbowe na CCM bado yanaendelea na hayajafika mwisho
 
Kuna watu wa Chadema ndaki ndaki wanaoenda kupinga kila kitu kiasi cha kumpiga madongo mwenyekiti wao. Kwao ni ule utamaduni wa kulalama tu na wanapata shida kumpongeza Mbowe
Mkuu Kamundu , hebu tuelimishane, kwenye hili la kuruhusiwa mikutano ya hadhara, Mbowe/Chadema ipongezwe kwa lipi?
lakini vilevile hawawezi kupongeza Rais hata kama kafanya mazuri.
Hapa nakuunga mkono, raid na serikali yake wakifanya vizuri wapongezwe. Tumelishauri sana hili jambo humu. Japo kazi ya upinzani ni kupinga, lakini sio kupinga kila kitu. Kwenye maslahi ya taifa, tutangulize utaifa, tuwe wamoja, wakweli na tusipotoshe
Lakini kuna kundi la CCM nalo ni kama Chadema wananufaika na mabishano yasiyo na msingi.
Sidhani kama ndani ya CCM, tuna ma CCM majinga hivi!.
Lakini baya zaidi kulikuwa na viongozi wa usalama wa nchi yetu ambayo walikuwa wanamtisha kwa uongo Raisi Samia kuhusu upinzani.
Duh...!, kumbe rire rijamaa ririkuwa rinamtisha rais wetu kuhusu upinzani, ndio maana ameritumbua?. Thanks for this!.
Kumbe Mbowe sio gaidi! kama walipofika kumwaminisha Rais.
Hili la ugaidi wa Mbowe naomba usilikumbushie, mpaka pale kwenye preliminary hearing, Jamhuri ilithibitisha Mbowe had a case to answer, ameachiwa kwa Nolle, Nolle ikitolewa haitoi sababu kusema ni gaidi au sio gaidi ila yale yaliyofanyika Aeshi hotel ni kweli na yalithibitishwa na evidence ikapokelewa japo was ill gotten evidence.
Haya aliyosema jana Raisi Samia ni pongezi kwake lakini tusimsahu Mbowe ambaye ameweka Uzalendo mbele. Sio aibu kupongeza kama viongozi wanastahili na sio kukosoa kila mara.
Tushirikishe huo uzalendo wa Mbowe kwenye hili ili na sisi tumpongeze!.
P
 
Mkuu Kamundu , hebu tuelimishane, kwenye hili la kuruhusiwa mikutano ya hadhara, Mbowe/Chadema ipongezwe kwa lipi?

Hapa nakuunga mkono, raid na serikali yake wakifanya vizuri wapongezwe. Tumelishauri sana hili jambo humu. Japo kazi ya upinzani ni kupinga, lakini sio kupinga kila kitu. Kwenye maslahi ya taifa, tutangulize utaifa, tuwe wamoja, wakweli na tusipotoshe

Sidhani kama ndani ya CCM, tuna ma CCM majinga hivi!.

Duh...!, kumbe rire rijamaa ririkuwa rinamtisha rais wetu kuhusu upinzani, ndio maana ameritumbua?. Thanks for this!.

Hili la ugaidi wa Mbowe naomba usilikumbushie, mpaka pale kwenye preliminary hearing, Jamhuri ilithibitisha Mbowe had a case to answer, ameachiwa kwa Nolle, Nolle ikitolewa haitoi sababu kusema ni gaidi au sio gaidi ila yale yaliyofanyika Aeshi hotel ni kweli na yalithibitishwa na evidence ikapokelewa japo was ill gotten evidence.

Tushirikishe huo uzalendo wa Mbowe kwenye hili ili na sisi tumpongeze!.
P
Ila wewe mzee unazeeka vibaya sana
 
Kuna watu wanaoenda kupinga kila kitu kwao. Kwao ni ule utamaduni wa kulalama tu na wanapata shida kumpongeza vilevile hawawezi kupongeza Rais hata kama kafanya mazuri.
Mkuu Kamundu , hii no hoja ya msingi sana!. Naunga mkono hoja
P
 
Sema waTz kwenye hatutoi pongezi panapostahil, ACT walienda kwenye kikosi kazi wakasemwa sanaaa na hao CHADEMA, ila leo hii CHADEMA wamejimikikisha maridhiano [emoji23][emoji23][emoji23] suala la mazungumzo na maridhiano kama kuna credit ziende kwa Zitto na ACT yake

Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
 
Kuna watu wa Chadema ndaki ndaki wanaoenda kupinga kila kitu kiasi cha kumpiga madongo mwenyekiti wao. Kwao ni ule utamaduni wa kulalama tu na wanapata shida kumpongeza Mbowe lakini vilevile hawawezi kupongeza Rais hata kama kafanya mazuri.

Lakini kuna kundi la CCM nalo ni kama Chadema wananufaika na mabishano yasiyo na msingi. Lakini baya zaidi kulikuwa na viongozi wa usalama wa nchi yetu ambayo walikuwa wanamtisha kwa uongo Raisi Samia kuhusu upinzani. Kumbe Mbowe sio gaidi! kama walipofika kumwaminisha Rais.

Haya aliyosema jana Raisi Samia ni pongezi kwake lakini tusimsahu Mbowe ambaye ameweka Uzalendo mbele. Sio aibu kupongeza kama viongozi wanastahili na sio kukosoa kila mara.
Hongera sana Freeman Mbowe kwa kuifikisha Tanzania hapa.
 
Back
Top Bottom