Sasa si mgeni rasmi manake tuliangalia pedesheeee mgeni rasmiHali ni tete mkuu hebu fikiria yaan ni mgeni rasmi natoa 1m af wajumbe mnatoa 5000 kweli hili gepu hapo nan anafidia
Watu wabishiii jamanWameshafunga ofisi kitambo kuna branch tu na mpawa wao ndo wanajifanya ni wastahimilifu
Mimi nimetoa 16 elfuSawa ila na nyie mngejaribu kusogea sogea sasa
Mweka hazina pesa yako nakulipa muda si mrefu tafadhali waambie wajumbe nishakukabidhi
........huu uzi jaman hahahaha, sjajua muhuska kama aliyatarajia haya [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Anyway me npo kamati ya vinywaji.........
Wasiotoa mchango hata maj hawatakunywa [emoji41]
Wapeleke elimu bureMgeni rasmi Nimesema kamati haivunjwi mpaka januari ifike... Mnataka watoto tuwarudishe Shule na Tala
Muoaji au muolewaji ni nani?........huu uzi jaman hahahaha, sjajua muhuska kama aliyatarajia haya 🤣🤣🤣🤣🤣. Anyway me npo kamati ya vinywaji.........
Wasiotoa mchango hata maj hawatakunywa 😎
Eti tusiotaka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi mwenyewe SITAKI mwaka uishe nikiwa single..Sijui nitembee na bango kama yule dada kutafuta mume kwa lazima[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukiwa unaenda kuchongesha bango na mimi niite shoga angu[emoji23]