Tusiotaka kufunga mwaka tukiwa 'single'

Tusiotaka kufunga mwaka tukiwa 'single'

Hali ni tete mkuu hebu fikiria yaan ni mgeni rasmi natoa 1m af wajumbe mnatoa 5000 kweli hili gepu hapo nan anafidia
Sasa si mgeni rasmi manake tuliangalia pedesheeee mgeni rasmi
 
........huu uzi jaman hahahaha, sjajua muhuska kama aliyatarajia haya 🤣🤣🤣🤣🤣. Anyway me npo kamati ya vinywaji.........


Wasiotoa mchango hata maj hawatakunywa 😎
 
........huu uzi jaman hahahaha, sjajua muhuska kama aliyatarajia haya [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Anyway me npo kamati ya vinywaji.........


Wasiotoa mchango hata maj hawatakunywa [emoji41]

[emoji23][emoji23][emoji23]mbona unalalamika mjumbe
Unaonesha hujalipa mchango wako
 
........huu uzi jaman hahahaha, sjajua muhuska kama aliyatarajia haya 🤣🤣🤣🤣🤣. Anyway me npo kamati ya vinywaji.........


Wasiotoa mchango hata maj hawatakunywa 😎
Muoaji au muolewaji ni nani?
 
Eti tusiotaka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mimi mwenyewe SITAKI mwaka uishe nikiwa single..Sijui nitembee na bango kama yule dada kutafuta mume kwa lazima[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom