Tusipende kufananisha matamasha ya Simba day na kilele cha week ya wananchi

Tusipende kufananisha matamasha ya Simba day na kilele cha week ya wananchi

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Watu wanalinganisha ubora wa haya matamasha, ambalo ndo jambo baya zaidi.
Haya matamasha ni tofauti kabisa.
Sisi Yanga tuna utamaduni wetu tofauti na ule wa mtani.
Watu wa Yanga ni watu wa burudani, wana pesa na wanajitoa Kwa team Yao tofauti na upande wa pili

Simba hawana furaha team Yao haina ubingwa tamasha lao laZima lipoe likose vibe, Sasa lichukue muda mrefu wanafurahia kucheza shirikisho au kufungwa goli 5.

Mo aliongea huku Mwenyekiti wa Simba Mangungu hakuonekana lakini mbumbumbu wamechukulia kawaida

Yangani team iliyoleta uhuru wa nchi, viongozi wa serikali wanaipa heshima,
Tazama mgeni rasmi wa mtani alikuwa waziri wa mambo ya ndani ila tamasha la Yanga mgeni rasmi ni Makamu wa Rais.
Rais alipiga live kwenye tamasha la Yanga lakini Kwa Simba ilikuwa ili mradi nao ni Watanganyika awape moyo.

Viongozi waandamizi laZima wawe wengi kwenye shughuli ya Yanga, kama mama Fatma Karume lakini Simba atakuja mwaijaku.
Kuzingatia itifaki yote hii laZima ichukue muda.

Wanaolalamika muda ni Simba hawajui kuwa Yanga ni kubwa kuliko Simba.

Yaani tuache Makamu na Rais kutoa neno kwenye sherehe yetu tuwahi kufungwa ili tuwe kama mbumbumbu.

Sisi Yanga tuliridhika kabisa na tulikuwa tayari hata kukesha.
Kiwanjani nilikuwepo hakuna mtu aliyelalamika.

Tunaomba tamasha la mwakani Eng Hersi Said atuletee mkesha, tukeshe tunajipongeza
 
Watu wanalinganisha ubora wa haya matamasha, ambalo ndo jambo baya zaidi.
Haya matamasha ni tofauti kabisa.
Sisi Yanga tuna utamaduni wetu tofauti na ule wa mtani.
Watu wa Yanga ni watu wa burudani, wana pesa na wanajitoa Kwa team Yao tofauti na upande wa pili

Simba hawana furaha team Yao haina ubingwa tamasha lao laZima lipoe likose vibe, Sasa lichukue muda mrefu wanafurahia kucheza shirikisho au kufungwa goli 5.

Mo aliongea huku Mwenyekiti wa Simba Mangungu hakuonekana lakini mbumbumbu wamechukulia kawaida

Yangani team iliyoleta uhuru wa nchi, viongozi wa serikali wanaipa heshima,
Tazama mgeni rasmi wa mtani alikuwa waziri wa mambo ya ndani ila tamasha la Yanga mgeni rasmi ni Makamu wa Rais.
Rais alipiga live kwenye tamasha la Yanga lakini Kwa Simba ilikuwa ili mradi nao ni Watanganyika awape moyo.

Viongozi waandamizi laZima wawe wengi kwenye shughuli ya Yanga, kama mama Fatma Karume lakini Simba atakuja mwaijaku.
Kuzingatia itifaki yote hii laZima ichukue muda.

Wanaolalamika muda ni Simba hawajui kuwa Yanga ni kubwa kuliko Simba.

Yaani tuache Makamu na Rais kutoa neno kwenye sherehe yetu tuwahi kufungwa ili tuwe kama mbumbumbu.

Sisi Yanga tuliridhika kabisa na tulikuwa tayari hata kukesha.
Kiwanjani nilikuwepo hakuna mtu aliyelalamika.

Tunaomba tamasha la mwakani Eng Hersi Said atuletee mkesha, tukeshe tunajipongeza
Mngekuwa na pesa mngelishwa supu ya vibudu? Wale ng'ombe waliochoka kwa kukanyagana kwenye mabehewa ya treni ndiyo wanaochuliwa kwa bei karibu ya bure kule Pugu mnadani.
 
Yani leo nimepanda bajaji dereva kavaa jezi ya Yanga mpya...ni mbayaaaaa jamani ni mbaya mnoo ukweli usemwe...
Imeandikwa asante mwananchi😀😀😀😀
Vaeni sanda zenu tarehe 8 tunawazika😅😅😅
Basi mtani kwako Yanga hawana jema.
Natumai ulifurahia tamasha la kilele cha week ya wananchi 😅😅
 
Watu wanalinganisha ubora wa haya matamasha, ambalo ndo jambo baya zaidi.
Haya matamasha ni tofauti kabisa.
Sisi Yanga tuna utamaduni wetu tofauti na ule wa mtani.
Watu wa Yanga ni watu wa burudani, wana pesa na wanajitoa Kwa team Yao tofauti na upande wa pili

Simba hawana furaha team Yao haina ubingwa tamasha lao laZima lipoe likose vibe, Sasa lichukue muda mrefu wanafurahia kucheza shirikisho au kufungwa goli 5.

Mo aliongea huku Mwenyekiti wa Simba Mangungu hakuonekana lakini mbumbumbu wamechukulia kawaida

Yangani team iliyoleta uhuru wa nchi, viongozi wa serikali wanaipa heshima,
Tazama mgeni rasmi wa mtani alikuwa waziri wa mambo ya ndani ila tamasha la Yanga mgeni rasmi ni Makamu wa Rais.
Rais alipiga live kwenye tamasha la Yanga lakini Kwa Simba ilikuwa ili mradi nao ni Watanganyika awape moyo.

Viongozi waandamizi laZima wawe wengi kwenye shughuli ya Yanga, kama mama Fatma Karume lakini Simba atakuja mwaijaku.
Kuzingatia itifaki yote hii laZima ichukue muda.

Wanaolalamika muda ni Simba hawajui kuwa Yanga ni kubwa kuliko Simba.

Yaani tuache Makamu na Rais kutoa neno kwenye sherehe yetu tuwahi kufungwa ili tuwe kama mbumbumbu.

Sisi Yanga tuliridhika kabisa na tulikuwa tayari hata kukesha.
Kiwanjani nilikuwepo hakuna mtu aliyelalamika.

Tunaomba tamasha la mwakani Eng Hersi Said atuletee mkesha, tukeshe tunajipongeza
Rais kwenye tamasha la simba alipiga pia nadha hufuatilia
 
Watu wanalinganisha ubora wa haya matamasha, ambalo ndo jambo baya zaidi.
Haya matamasha ni tofauti kabisa.
Sisi Yanga tuna utamaduni wetu tofauti na ule wa mtani.
Watu wa Yanga ni watu wa burudani, wana pesa na wanajitoa Kwa team Yao tofauti na upande wa pili

Simba hawana furaha team Yao haina ubingwa tamasha lao laZima lipoe likose vibe, Sasa lichukue muda mrefu wanafurahia kucheza shirikisho au kufungwa goli 5.

Mo aliongea huku Mwenyekiti wa Simba Mangungu hakuonekana lakini mbumbumbu wamechukulia kawaida

Yangani team iliyoleta uhuru wa nchi, viongozi wa serikali wanaipa heshima,
Tazama mgeni rasmi wa mtani alikuwa waziri wa mambo ya ndani ila tamasha la Yanga mgeni rasmi ni Makamu wa Rais.
Rais alipiga live kwenye tamasha la Yanga lakini Kwa Simba ilikuwa ili mradi nao ni Watanganyika awape moyo.

Viongozi waandamizi laZima wawe wengi kwenye shughuli ya Yanga, kama mama Fatma Karume lakini Simba atakuja mwaijaku.
Kuzingatia itifaki yote hii laZima ichukue muda.

Wanaolalamika muda ni Simba hawajui kuwa Yanga ni kubwa kuliko Simba.

Yaani tuache Makamu na Rais kutoa neno kwenye sherehe yetu tuwahi kufungwa ili tuwe kama mbumbumbu.

Sisi Yanga tuliridhika kabisa na tulikuwa tayari hata kukesha.
Kiwanjani nilikuwepo hakuna mtu aliyelalamika.

Tunaomba tamasha la mwakani Eng Hersi Said atuletee mkesha, tukeshe tunajipongeza
Hujui Historia Bw. Mdogo.
Yanga ni timu iliyoasisiwa na Watu wasiosoma wenye elimu ndogo na kipato kiduchu na itaendelea kuwa hivyo.

Simba ni timu iliyoasisiwa na Wasomi, wapenda Mageuzi na wenye kipato cha juu na itaendelea kuwa hivyo daima. Ndio maaana SIMBA WALIKUWA WANACHEZA NA NJUMU/VIATU Yanga anacheza Peku. Simba ana Jezi YANGA anacheza GONGOWAZI nk nk
Hadi leo WanaSimba hawahitaji suppu kujaa Lupaso.
Misimu yote nenda TFF Simba ndiyo inaongoza kwa kupata Fedha za viingilio na kutoa gawio TFF na Serikali.

Kama huna taarifa uliza mkuu. Kushabikia tu Yanga unachagua uko kundi gani la Historia.
 
Hujui Historia Bw. Mdogo.
Yanga ni timu iliyoasisiwa na Watu wasiosoma wenye elimu ndogo na kipato kiduchu na itaendelea kuwa hivyo.

Simba ni timu iliyoasisiwa na Wasomi, wapenda Mageuzi na wenye kipato cha juu na itaendelea kuwa hivyo daima. Ndio maaana SIMBA WALIKUWA WANACHEZA NA NJUMU/VIATU Yanga anacheza Peku. Simba ana Jezi YANGA anacheza GONGOWAZI nk nk
Hadi leo WanaSimba hawahitaji suppu kujaa Lupaso.
Misimu yote nenda TFF Simba ndiyo inaongoza kwa kupata Fedha za viingilio na kutoa gawio TFF na Serikali.

Kama huna taarifa uliza mkuu. Kushabikia tu Yanga unachagua uko kundi gani la Historia.
Rage alikuwa sahihi kuwapa jina la mbumbumbu.
Yanga ni team ya wananchi, Sasa ulitegemea kipindi cha ukoloni Watanganyika wangapi wawe wamesoma?
Simbailianzishwa na wahindi
 
Watu wanalinganisha ubora wa haya matamasha, ambalo ndo jambo baya zaidi.
Haya matamasha ni tofauti kabisa.
Sisi Yanga tuna utamaduni wetu tofauti na ule wa mtani.
Watu wa Yanga ni watu wa burudani, wana pesa na wanajitoa Kwa team Yao tofauti na upande wa pili

Simba hawana furaha team Yao haina ubingwa tamasha lao laZima lipoe likose vibe, Sasa lichukue muda mrefu wanafurahia kucheza shirikisho au kufungwa goli 5.

Mo aliongea huku Mwenyekiti wa Simba Mangungu hakuonekana lakini mbumbumbu wamechukulia kawaida

Yangani team iliyoleta uhuru wa nchi, viongozi wa serikali wanaipa heshima,
Tazama mgeni rasmi wa mtani alikuwa waziri wa mambo ya ndani ila tamasha la Yanga mgeni rasmi ni Makamu wa Rais.
Rais alipiga live kwenye tamasha la Yanga lakini Kwa Simba ilikuwa ili mradi nao ni Watanganyika awape moyo.

Viongozi waandamizi laZima wawe wengi kwenye shughuli ya Yanga, kama mama Fatma Karume lakini Simba atakuja mwaijaku.
Kuzingatia itifaki yote hii laZima ichukue muda.

Wanaolalamika muda ni Simba hawajui kuwa Yanga ni kubwa kuliko Simba.

Yaani tuache Makamu na Rais kutoa neno kwenye sherehe yetu tuwahi kufungwa ili tuwe kama mbumbumbu.

Sisi Yanga tuliridhika kabisa na tulikuwa tayari hata kukesha.
Kiwanjani nilikuwepo hakuna mtu aliyelalamika.

Tunaomba tamasha la mwakani Eng Hersi Said atuletee mkesha, tukeshe tunajipongeza
SIdhani kama una x maa zaidi ya mbili hapa mjini
 
Ile ya yanga ni takataka siyo tamasha
 
Watu wanalinganisha ubora wa haya matamasha, ambalo ndo jambo baya zaidi.
Haya matamasha ni tofauti kabisa.
Sisi Yanga tuna utamaduni wetu tofauti na ule wa mtani.
Watu wa Yanga ni watu wa burudani, wana pesa na wanajitoa Kwa team Yao tofauti na upande wa pili

Simba hawana furaha team Yao haina ubingwa tamasha lao laZima lipoe likose vibe, Sasa lichukue muda mrefu wanafurahia kucheza shirikisho au kufungwa goli 5.

Mo aliongea huku Mwenyekiti wa Simba Mangungu hakuonekana lakini mbumbumbu wamechukulia kawaida

Yangani team iliyoleta uhuru wa nchi, viongozi wa serikali wanaipa heshima,
Tazama mgeni rasmi wa mtani alikuwa waziri wa mambo ya ndani ila tamasha la Yanga mgeni rasmi ni Makamu wa Rais.
Rais alipiga live kwenye tamasha la Yanga lakini Kwa Simba ilikuwa ili mradi nao ni Watanganyika awape moyo.

Viongozi waandamizi laZima wawe wengi kwenye shughuli ya Yanga, kama mama Fatma Karume lakini Simba atakuja mwaijaku.
Kuzingatia itifaki yote hii laZima ichukue muda.

Wanaolalamika muda ni Simba hawajui kuwa Yanga ni kubwa kuliko Simba.

Yaani tuache Makamu na Rais kutoa neno kwenye sherehe yetu tuwahi kufungwa ili tuwe kama mbumbumbu.

Sisi Yanga tuliridhika kabisa na tulikuwa tayari hata kukesha.
Kiwanjani nilikuwepo hakuna mtu aliyelalamika.

Tunaomba tamasha la mwakani Eng Hersi Said atuletee mkesha, tukeshe tunajipongeza
Mimi imenichekesha hapo ulipoandika, "Mashabiki wa Yanga Wana pesa..."! Ahahahahaha!
 
Vaeni sanda zenu tarehe 8 tunawazika😅😅😅
Basi mtani kwako Yanga hawana jema.
Natumai ulifurahia tamasha la kilele cha week ya wananchi 😅😅
😀😀😀😀😀😀🙂😀🙂😀😅😅😅🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom